Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Wakenya Hata walie machozi ya aina gani hawatajenga reli yenye Kiwango Kama hii , na sio Kenya tu ni nchi zote afrika kasoro Morocco .
wa wapi wewe??? nna shauku umekuwa ukiishi kichakani. tizama hapa๐Ÿ‘‡.
 
Nakuulizwa swali rahisi Hata mtoto wa darasa la 4 anajibu

Sgr ya Kenya ni electric ? Yes or no
Sgr ya Tanzania ni electric? Yes or no
Sgr Kenya = 3 million passengers
Sgr Tz = 0 passengers
njoo nikufunze jinsi ya kukata tikiti
 
Wakenya Hata walie machozi ya aina gani hawatajenga reli yenye Kiwango Kama hii , na sio Kenya tu ni nchi zote afrika kasoro Morocco .
Yaani awa jamaa awapendi ktu kizuri kwa tz wanaumia sana
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ