Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hao wanajifurahisha tu, hapo ni kama wanacheza game ya SEGA! wachina wamekunja sura wana komaa na ajira zenu. Uhuruto wamesign mikataba mchina haondoki mpaka 2027 kwenda mbele. Mswahili akigusa mlango wa kichwa cha train tu anakula teke la shingo..
Mswahili ndo nani...hhhhh!!usituletee kiswahili cha kijinha cha tanzania hapa
 
Outdated Block Signalling System! It's like u bragging of landline phone while there's mobile phones!
Umeona systems hadi umepagawa...sasa unaruka ruka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji382] [emoji382] [emoji382]
 
Hio hapo ni road reserve na haifai kuguswa na muindombinu ya aina yoyote, Kuna barabara inafaa kujengwa hapo in future
Ndo maan mchina anawaibia hadi mauzo ya ticket maana ashawaona nyie n mazuzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…