Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hawa jirani ni watu wa maamuzi ya kukurupuka kisa Tz iko mbele kwa progress ya rail development basi watafunikafunika specs za rail alimradi tuu wapate kichaka cha kujipigia pesa ndefu.
Tz iko mbele ya nini? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
wacha kujifanya kichaa. your sgr is as good as dead... kwa mzigo upi mlionao na mnaupeleka wapi? ulishindwa kuleta numbers hapa kwahio fyata mdomo wako
 
Hasira za nini we dada wataka kujiua bure na maphotoshop jingaz 😁 😁 🀣 🀣
bado siamini kuwa hawa ndio abiria wakaoipanda burreti treni 🀣🀣🀣 πŸ‘‡

hawa wapuuzi wanafaa kukoma kabisa kuanika anika geto lako.
Apeche alolo, Gonjwa Tumbaff... style up you ppl
 
Tz iko mbele ya nini? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
wacha kujifanya kichaa. your sgr is as good as dead... kwa mzigo upi mlionao na mnaupeleka wapi? ulishindwa kuleta numbers hapa kwahio fyata mdomo wakoView attachment 2981248
View attachment 2981249
Povu la nini sasa dogo? we have the most modern and longest electric SGR in Africa Je nyie SGR yenu ina sifa hizo? Hii ndio maana halisi ya kuwa mbele infrastructure wise.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…