Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

nilikwambia ww unaota mchana kweupe. nitajibu vipi uhalisia na ndoto??? hio 35, 140, 2km ni utter bullshit and cannot be proven... a song that keeps replaying on your mind.
2. hio mizigo yenu munatoa wapi mukipeleka wapi wakati 90% ya cargo yote inayotoka dar port inaishia na kupotelea dar yote???
that leaves you with one Big White 🐘
 
walitaka kutumia kifua badala ya akili,,, ona sasa walivyoangukia pua πŸ‘‡

cheap is expensive.
 
walitaka kutumia kifua badala ya akili,,, ona sasa walivyoangukia pua πŸ‘‡
View attachment 3003522
cheap is expensive.
You posted n u answered urself! Though Delays have been acknowledged, the Fact is the whole stretch from Dar to Mwanza is U/C with first 2 lots on testing and commission. Our Transport budget has set aside $500 mln for construction. While Isaka-Mwanza lot 5 is almost 60% done, Makutupora-Tabora lot 3 is over 14% done while Tabora-Isaka lot 4 is over 5% done n Tabora-Kigoma lot 6 is over 5% done. Nyie endeleeni kutembesa bakuli! It will take at last 2 years for u to be given a loan! Mark my words!
 
Issue ni huo mzigo wa kusafirisha mnautoa wapi? How many tons do Dar port handles compared to Mombasa?
 
I thought Kenyan education produces wasomi wazuri kumbe rubbish tuu you cant even defend your argument
 
Issue ni huo mzigo wa kusafirisha mnautoa wapi? How many tons do Dar port handles compared to Mombasa?
just wait till when reality hits dawn..... 🀣🀣🀣🀣🀣
wengi watashikwa na kifafa
 
Hizo data zote ni according to the detailed engineering design ya reli zote mbili.
Reli yenu ili kufukia mashimo ya udhaifu wanetumia maneno ya kitapeli eti Chinese class 1 rail ili msahau vingine 🀣🀣🀣🀣
Ukiambiwa uelezee specs za chinese class 1 rail utaanza kujitafuta hapa.

Mchina nyoko sana dah.
 
Tanzanian economy is the most diversified in the region also rate of economic growth ni kubwa kuliko yenu so usitegemee tuanguke kesho we will keep on marching forward because we have the most resilient economy in the region.
 
Issue ni huo mzigo wa kusafirisha mnautoa wapi? How many tons do Dar port handles compared to Mombasa?
Hivi unajua gold mines za Tanzania zina safirisha ores kiasi gani kwa mwaka? Pia mizigo ya Rwandan na Burundi pamoja na RDC inayopita Tz unajua kiasi chake?l
Mazao je unajua mazao ya chakula na biashara yanazalishwa kiasi gani kwa maeneo inapopita SGR?
 
zumbukuku ww. una-argue vipi kitu hakuna.
Nimeweka hapa fqcts za reli hizi mbili ila umeshindwa ku argue kwa facts bali unatumia mihemko na wishes zako unavyotaka wewe iwe. Elimu takataka kabisa Kunyaland
 
katuni kweli ww. tuongee ukweli/ uhalisia. kitu kilichopo na sio kisichokuwepo. hakuna cha "unajua, unajua, unajua...... " mpaka saa ngapi?
Dar Port ina handle 17m tons of which 10 inapotelea Dar, 5m tons ni ya Tanganyika na 2m tons inaenda na Tazara. huo ndio ukweli. hakuna mzigo wowote unaoelekea Mwanza...
rekodi zote utazipata bandarini... usituletee assumptions zako hapa 🀣
wake up!
 
Nimeweka hapa fqcts za reli hizi mbili ila umeshindwa ku argue kwa facts bali unatumia mihemko na wishes zako unavyotaka wewe iwe. Elimu takataka kabisa Kunyaland
unaleta fictions halafu unashupalia shingo eti ni facts. hutaki kabisa kukubaliana na reality on the ground. just be brave and call a spade for what it is. hakuna atakayekupiga 🀣🀣🀣
 
Umebakia kuiombea mabaya tuu reli ya jirani 🀣🀣🀣🀣
not really.... jirani anafanya kitu akidhani anatukomoa. ana ulazma wa ku-counter chochote/ lolote tunalolifanya mwisho wake anaanguka vibaya hadi anatia aibu.
sio bagamoyo, sio atcl, sio dry port, sio sgr.... baadae anaishia kukunja mkia 🀣🀣🀣🀭
 
Kwa nini unaleta mambo ya zamani? Amka wewe nyang'au!
history repeats itself. ni wapi ulisikia ndege ya Kq imeshikwa au serikali ya Kenya inadaiwa na mtu binafsi?
kuna pahali uliwai sikia Kenya imeonewa huruma na kusamehewa deni la aina yoyote???
kwa hio kuwa mpole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…