Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Sio nisijifanye sijui utuambie wewe Magufuli alienda Kenya kufanyaje?
Thread 'Last moments of the ‘Bulldozer’ John Pombe Magufuli' Last moments of the ‘Bulldozer’ John Pombe Magufuli







SASA WANAACHA KUBORESHA HOSPITAL ZA HUKU KWETU , TATIZO LIKITOKEA HAO NJE.
 
NAJUA UTAKATAA NA MANENO YA HOVYO MENGI.
 
Taarifa za ndani zinasema Magufuli alifia HOSPITALI YA MZENA.
Hakufia KENYA,acha habari za kuokotwa hizo kutoka vyombo vya habari vya Kenya.
Hao hao Wakenya ndio walisambaza habari za uongo mpaka ALJAZEERA kuwa Wamasai walikua wanauliwa kikabila kule Ngorongoro ilhali sio kweli.
Na nilijua tu mkuu utakuja na habari hii.
 
Hajawajua Kenya kwa kuunda fake news.
Yani ile habari ya Wamasai waliyoleta Al-Jazeera doh nilishangaa sana.
Yani hadi niliwalaumu Al-Jazeera kwanini wamerusha habari isiyo na ith ati!?
Na wewe ujajua jinsi tunavyodanganywa hapa TZ
 
Wasome BBC mkuu acha ubishi.
BBC na hivyo vyombo vya habari ulivyoleta kipi chombo cha kuaminika!!??
Ya na mimi nimekuwekea hapo.
Wanaacha kuimalisha hospital za huku mwishowe tunaaibika huku bongo daaa.
 
Ya na mimi nimekuwekea hapo.
Wanaacha kuimalisha hospital za huku mwishowe tunaaibika huku bongo daaa.
Magufuli alifia Mzena hospital Dar es Salaam.
Hakupelekwa Kenya.
Vyombo vikubwa vya habari CGTN,FRANCE 24,BBC news vyote vimetangaza kafia Mzena Dar es Salaam.
Na hivyo vyombo tajwa hapo juu wana correspondents hapa Afrika ikiwemo Tanzania.
We kaa endelea kuamini hizo propaganda vinavyosema Magufuli KAFA kwa covid 19 Kenya,ilhali Kenya ndio nchi ilikua inaongoza kwa maambukizi ya Corona hapa EA.
Magufuli kafia Mzena Dar hajafia Nairobi.
 
Daaaa kumbe mtu alikuwa nairobi.

HEBU WASOME BBC HAPO.
KUMBE MTU ALIKUWA NAIROBI KALAZWA.View attachment 3032866

SASA HATA NA WEWE UFIKILI KAMA WATU TUU WANAFICHA HALI YA AFYA YA RAIS UNAFIKILI WATAKUAMBIA ALIFALIKI WAPI.
Wapi wameandika hapo kubwa yupo Nairobi!?
Article uliyoleta inaonesha kuna kuficha taarifa ya afya ya Rais na hakujazungumziwa kuhusu kulazwa wapi na kwasababu gani.
Umeleta taarifa irrelevant mkuu.
 
Daaaa kumbe mtu alikuwa nairobi.

HEBU WASOME BBC HAPO.
KUMBE MTU ALIKUWA NAIROBI KALAZWA.View attachment 3032866

SASA HATA NA WEWE UFIKILI KAMA WATU TUU WANAFICHA HALI YA AFYA YA RAIS UNAFIKILI WATAKUAMBIA ALIFALIKI WAPI.
Lete taarifa kama hii niloleta mimi ikisema directly kuwa Magufuli alifia wapi.
 
mr Dude ni kijana mdogo. Mchukulie hivyo hivyo alivyo😎
Muache akijua kutofautisha kati ya real news and propaganda ataelewa.
Kuna vyombo viwili Abadan sitakaa niviamini maishani,kwanza KTV na vyombo vyote vya Kenya,Pili Africa news channel.
Hawa wajinga hawajui habari wanajua propaganda tu.
Kama hao Africa news hawana correspondent hata mmoja Tanzania halafu wanakwambia Magufuli KAFA kwa Corona.
 
Ya na mimi nimekuwekea hapo.
Wanaacha kuimalisha hospital za huku mwishowe tunaaibika huku bongo daaa.
Hapa Afrika kwa masuala ya tiba ni Afrika kusini pekee ndio wanatuzidi.
Kama masuala ya mifupa MOI ni kitengo kikubwa cha mifupa Afrika mashariki na kati ni S.A tu wanatuzidi.
Kama kitengo cha moyo JKCI ndio kitengo kikubwa cha moyo na kilichofanya upasuaji mwingi uliofanikiwa baada ya za S.Afrika.
Hao Wakenya wenyewe wanakuja kupata matibabu huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…