ni kipi kimekukwaza kaka? π€£Hii nchi hii nikipata mchongo tu natoweka
chai hii...Jana nimepanda hili gari,aisee hapa wamewekeza..mwendo wa kawaida ila train ni nzuri sana kama ulaya,japo sina uhakika na uimara wa hizo train...
Teyari watu wanapanda na magodoro,ma box ya bati,nimeona mtu kapanda na kuku...
Kamanda kesho maandamano.chai hii...
tupia picha iwapo unataka tukuamini
ulitaka kutoklezea?Kamanda kesho maandamano.
Nilifikiri utakwenda?ulitaka kutoklezea?
mimi nipo hapa tayariNilifikiri utakwenda?
Uongo utakusaidiaje kwa mfano?mimi nipo hapa tayari
uongo upi?Uongo utakusaidiaje kwa mfano?
Najua wewe ni muongo. Na kama sio muongo basi tumia hiyo simu kupiga picha uweke hapa tuone kama hawa "wenzako"πuongo upi?
πππ shenzi typeNajua wewe ni muongo. Na kama sio muongo basi tumia hiyo simu kupiga picha uweke hapa tuone kama hawa "wenzako"π
View: https://m.youtube.com/watch?v=Uyo9PYhXm5Y
Unafikiri ukitukana ndio nini? Nisalimie BoniYaiππππ shenzi type
Dua la kuku halimpati mwewe π
Stori za udaku hazina nguvu Tanzania.hali ni tete... tuzidi kumuomba Mungu π
View attachment 3044565