π€£π€£π€£π€£π€£πHaitatembea Ikitokea Ni Kwa Mbinde Sana Baadaye Chari Chari
Imagine kumbe danadana zilianza toka 2019 π€£π€£π€£π€£π€£π€£ umenikumbusha mbali sana! pitia hapa uone π SGR na Zimwi la Uhairishwaji kila Muda
listen to the audio, the first 5secondsKumbe Dude halina charging ports!
View: https://x.com/sholard_mancity/status/1817867909516960167
The only accomplishment... π π π π ππ
View: https://x.com/TheSumPlus/status/1815705976219001318
si kila siti mpaka na mpaka ubong'oe!listen to the audio, the first 5seconds
π€£π€£π€£π€£π€£Au imesimama ili wananchi wabubujikwe na machozi ya furaha.
tulia bibi π€£ πππWatanzania hatuwezi kuendesha mabasi ya mjini, tutaweza train ya kisasa?
Bado hatujafikia kiwango hicho. Adui yetu mkuu ni ujinga.
Naanza kuionea huruma ATC, nadhani huko kuna madudu mengi sana lakini yanafichwa.
say something mkuu.... toa mchango wakoπ€·
hata kabla kuku kumeza punje! π€£π€£π€£Mbona kukorofisha mapema sana
We jifurahishe tuu haitabadilisha ukweli kuwa Tanzanian SGR ni the best ukanda huu wote.aisee pole sana kwa kaka 'angu, brother coodip1. sio kwa mbu wote hao waliokuchangamkia usiku wa leo π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
View attachment 3057245
punishment well deserved.