Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Ya Tanzania inaonekana imetumia garama ya kawaida na ya chini, ila ipo very effective.
 

Attachments

  • 1721903132130.png
    4.7 MB · Views: 2
  • Screenshot_20240725-164656~2.png
    756 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240725-050107~2.png
    818.4 KB · Views: 2
  • 1721903092041.png
    5.5 MB · Views: 3
Kidete mpk kilosa ni km 59km.
Sasa train kama lina battery, kwa speed ya 160km/h linamaliza hizo km chini ya dkk 24 hivi.
Sasa battery linashidwa kutumza umeme wa dkk 23 kweli.
 
Power 🔋 backup nafikili ni kuweka watu kwenye mabehewa wasikae Giza, ila sio locomotive kuwa na nguvu ya kuvuta mabehewa.

Mimi nilijua tuu battery 🔋 gani lenye nguvu la kuvuta mabehewa ya treni
Power back up inatosha kufanya treni itembee kwa saa moja mpaka stesheni inayofuata sasa hapa sijui shida ilikuwa wapi?
 
unaomba au unatamani liwahi kuzima? 🤣🤣🤣🤣🤣
pole kwa kuliwa na mbu usiku wa kuamkia leo
Nyani haoni kundule 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…