jamaa ni mbishi tu. typical bongolala, going round in circles!π π π π π π π π π
Uoni kama unakataa hoja zako
Lini maumivu yako yatakwisha baada ya ule msiba?ππulipata tiba???
Nyang'au hawataki kukubaliππNi kweli GDP ya Kenya ni kubwa kuliko Tanzania ila ukija kwa uhalisia Kenya GDP kubwa ila kiasi kikubwa kinaenda kwenye kulipa madeni( nikimaanisha pamoja na kuwa na uzalishaji mkubwa wa USD 105bil kwa mwaka lakini ambayo kiuhalisia ndo inadetermine kipato, asilimia 68 ya 105b ambayo ni sawa na USD 71.4 kinaenda kwenye kulipa madeni huku kiasi Cha USD 33.6bil za kitachopatikana kutokana na uzalishaji zikienda kwenye miradi ya maendeleo na mishahara na kadhalika
Tukija kwa Tanzania GDP yake ni 79.61 huku deni lake likisimama kwenye 35%
Hivyo basi kutokana na huo uzalishaji kiasi Cha usd27.86bil kinaweza tumika kwenye kulipa madeni huku ikibaki na kiasi Cha USD 51.75bil kwa ajili ya matumizi na miradi
Sasa tukija kwenye uhalisia nani anaweza kufanya miradi mikubwa na yenye tija
Tanzania imeizid Kenya kwa kiasi Cha usd USD 20.14bil ambayo hata tukisema tutandaze reli mpaka turkana tunaweza fanya hivyo.
So Kenya inaweza ikawa na GDP kubwa lakini kwa Sasa isiwe na uwezo mkubwa wa kufanya lolote kwa sababu ya kuwa na deni kubwa sana ambalo hata haliwez lipika
Mkuu hakuna new updates hii video ya 7 month ago.
miezi saba ni kidogo, huokota takataka za aina yoyote hata za miaka kumi iliopita, ilimradi tu ajiridhishe ππMkuu hakuna new updates hii video ya 7 month ago.
wacha kuota ww. subiri mwakani ripoti ya CAG, alafu tuangalie na revenue kabisaTanzania sgr kwa siku inahudumia watutakribanwatu 7600 kwa siku Moja kwa miezi 12itakuwaimehudumia watu 2.736miltukiendakwa ratiba ya Sasa hivi kabla ya kuongeza route nyingine ya za dodoma huku ya Kenya ikiwa haijawahi fikisha kiwango Cha abiria 7000 kwa siku Moja
Trc hapa walizembea sana!!! halafu ukumbuke mkandarasi naye ashasepa.Wameweka fensi ila hilo eneo bado wameacha wazi watu wengi sana bado bado wanavuka hapo. Nafikili kama jamaa yule alivyosema pale hawakufikilia watu watavukaje kipindi wanajenga pako hapo na eneo la mombasa.
Huku tunawalisha sio?
Mandalas yupo.Trc hapa walizembea sana!!! halafu ukumbuke mkandarasi naye ashasepa.
Sawa ila tuko kwenye idadi ya abiria kwa miezi miwili tu abiria waliotumia sgr Tanzania ni zaid ya iliyotumika miezi miwili ya mwanzo kenyaTrc hapa walizembea sana!!! halafu ukumbuke mkandarasi naye ashasepa.
wacha kuota ww. subiri mwakani ripoti ya CAG, alafu tuangalie na revenue kabisa
View attachment 3077096