Tanzania kufika hii stage sijui lini daaa 😭😭Naam! Bila shaka! 🤝
View attachment 3119249
Kwani mbona MGR inabeba ng’ombe?copy pasting hapa na pale 👇
View attachment 3119111
ulidhani ni SGR??? 👇Kwani mbona MGR inabeba ng’ombe?
Ethiopia wanafanya kwa SGR na Behewa za cargo SGR zipo njiani!
Kumtoa makamu wa raisi mnaona ni sawa... Kisa kapishana na raisi... Katiba ya Kenya uwa niya ovyo...Naam! Bila shaka! 🤝
View attachment 3119249
Kufikia kwenye ujinga wa mkumtoa makamu wa raisi?? Na hii itawafanya wa Kenya wabaki kwenye siasa kuliko kujenga uchumi... Uchumi hautaki siasa .Tanzania kufika hii stage sijui lini daaa 😭😭
karibu sana dada Melissa, ila in general, mambo yapo hivyo! take it or leave it.Kumtoa makamu wa raisi mnaona ni sawa... Kisa kapishana na raisi... Katiba ya Kenya uwa niya ovyo...
Lini Kenya itafikia kuwa na treni ya umeme au ndiyo inabidi waje Tanzania kushangaa kila siku?Tanzania kufika hii stage sijui lini daaa 😭😭
Kwa hio hata makamu wa rais ni mwezi aachwe tuuKufikia kwenye ujinga wa mkumtoa makamu wa raisi?? Na hii itawafanya wa Kenya wabaki kwenye siasa kuliko kujenga uchumi... Uchumi hautaki siasa .
Umeme ni kuweka tuu kaka sio kitu Cha kushangaza hata hapa kwetu tukiamia kuweka mgr umeme tunaweka tuuLini Kenya itafikia kuwa na treni ya umeme au ndiyo inabidi waje Tanzania kushangaa kila siku?
Endelea kuota😎Umeme ni kuweka tuu kaka sio kitu Cha kushangaza hata hapa kwetu tukiamia kuweka mgr umeme tunaweka tuu
Unaupeo mdogoEndelea kuota😎
Utaota sana.Unaupeo mdogo
hana jina au umemsahau? 😂Tunajenga SGR kwa fedha zetu wenyewe alisikika kiongozi mmoja.