Yani seat zetu ni Bora hata za mabasi.mbingu na ardhi. tofauti ni kubwa sana....
View attachment 3140065
View attachment 3140064
View attachment 3140066
poleni sana πππSisi kama wananchi wa JMT tumeshapigwa.
Ma-coach hayazunguki halafu unachukua Masaa Nane Mombasa-Nairobi! π€©π€©mbingu na ardhi. tofauti ni kubwa sana....
View attachment 3140065
View attachment 3140064
View attachment 3140066
sana tena sana tu ππHiyo ya kenya imekaa vizuri
Kweli hawawezi kuleta inayotumia mafuta ya taa na ambayo haina air conditioning system