Rose Can AVENUE
Member
- Dec 1, 2019
- 42
- 13
Safari ilianza kilimo ni Uti wa mgongo ( jembe la mkono likatawala tukampata mbunge anaitwa mkono ) hadi kilimo kwanza ikishindikana labda tatizo ni darasa la kwanza kubeba begi kama mtu wa form 6.
Saa hizi serikali ya viwanda yawezekana tutashangaa ideology ya kutumika maana walishiriki privatisation. Litakuwa tatizo la kunywa dawa hili aka kunywa matatizo yako maana wahindi wameleta mifano kila kila kona ya nchi.
Viwanda ua!!
Mipango miji ya?
Ukisema hawalimi wewe Ndio tatizo
Saa hizi serikali ya viwanda yawezekana tutashangaa ideology ya kutumika maana walishiriki privatisation. Litakuwa tatizo la kunywa dawa hili aka kunywa matatizo yako maana wahindi wameleta mifano kila kila kona ya nchi.
Viwanda ua!!
Mipango miji ya?
Ukisema hawalimi wewe Ndio tatizo