Cost of electricity per unit in EAC

Okay, Japan wako na deni inayokaribia Mara mbili zaidi ya GDP yao,pia tuseme uchumi wa Japan ni wa makaratasi?

Ha ha ha mbafu zanguuuu
Kwa hiyo nyie ni sawa na Japan? Na Ksh yenu inaizidi thamani Yen ya Japan. Basi nyie uchumi wenu uko juu zaidi ya Japan.
 
Ha ha ha mbafu zanguuuu
Kwa hiyo nyie ni sawa na Japan?? Na kes yenu inaizidi thamani Yen ya Japan. Basi nyie uchumi wenu uko juu zaidi ya Japan.
Babu, hapa hujanielewa vizuri.

And on that case, currency ya Japan ina value sawia na ya Kenya.
 
Key word "Economic power"

Na tafadhali,usireply tena
Hakuna kipimo kwenye economics kinaitwa (Economic Power)
Utapa
GNP, GDP, GNI, PPP, IDI(Inclusive Development Index)
 
Anzisha thread inayoongelea manufacturing. This thread is about power cost.
Niongeze VOLUME?
Kwani unaeza ongea kuhusu power cost na ukose kuongea kuhusu manufacturing? Kuwa serious na uwache utoto. The reason for reducing power cost is to boost manufacturing. Lakini wewe ukiulizwa manufacturing yenu iko vipi unakuwa mkali kama mbwa koko.
 
Kwani unaeza ongea kuhusu power cost na ukose kuongea kuhusu manufacturing? Kuwa serious na uwache utoto. The reason for reducing power cost is to boost manufacturing. Lakini wewe ukiulizwa manufacturing yenu iko vipi unakuwa mkali kama mbwa koko.
Unataka kunipangia sasa cha kuongea. Kile unachofikiria wewe ni chako binafsi usiwapangie wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…