stringerbell
Member
- Feb 19, 2010
- 86
- 0
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate
pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate
pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.
Kwani ukija unatafuta nyumba ya kupanga kwa miezi hiyo minne ..
Life Bongo ndo kama ulivyoliacha hakuna mabadiliko zaidi ya mfumuko wa bei kuendelea kuongezeka
wanajamii habari zenu
jamani naomba kuwauliza kuhusu cost of living sasahivi hapo bongo,mimi nipo state natarijia kuja hapo kukaa kwa muda wa miezi 4.
bei ya vyakula kama mchele ,maharage,vitunguu,mbatata n.k ni kisai gani
vinwaji kama bia na soda kiasi gani?
petrol kwa litre kiasi gani
nyama na kuku kilo kiasi gani
mobile phone rate
pamoja na gharama nyengine muhimu ambazo nimesahau kuzitaja.
duuuh...yani mzee umekaa huko mpaka hujui hata ndugu zako tunaishije?...anyway...njoo na kama dola za kimarekani 500 kwa siku maisha yanaenda fresh tu...maana hata mie ndio nazotumia kila siku...ukitaka mchanganua sema nikupatie...kwa miezi 4 likely siku 120 X500= usd 60,000.. ila ukitaka ku-save au kubana matumizi itabidi tukuonyeshe maeneo ambayo hasheem thabit alikuwa anajificha kukwepa gharama za u-supa staa wake....
Pia mkuu ukija na hilo range rover lako sport utakuwa umepunguza gharama za kutumia haya magari ya avis...ila ujuee mafuta yetu aka gasoline ime-chakachuliwa mbayaaaa...itaua engine ya gari lako...sikushauri kabsaa upande daladala...ni bora upande bajaj na bodaboda...ila ajali kibao mzee....hope pia hutopenda kukaa manzese ila kuna hotel kali kuliko hiyo kempinski....unaulizia pia bei ya mchele..kwani utakuja na wife apike?...ujue umeme hakuna na hotel hawaruhusu kujipikilisha vyumbani utawaunguzia jengo lao...usije na wife bana..utawanyima shavu dada zetu ...hao sikuhizi goli moja dola 100...sema wapo hata wa tshs 200 mitaa ya sewa buguruni pale...anyway...kuna sheraton out..msosi plate ya wali kuku kitu cha tshs 3000, soda tshs 500, ndizi mbivu tshs 200, maji yapo hata ya viroba tshs 100...
KAKA WEE NJOO TU BANAAA...washkaji zako pia si unajua tumechoka...so kila jioni wewe ndio unakuwa pedeshee wetu full kuzungusha mi-bia pale mliman city....ohhh..kipo kijiwe kingine mitaa ya city centre pale gorofani kinaitwa sijui savana au...nimesahau sikuhisi kule huwa hata siendagi tena
duu mkuu hiyo kwa miezi minne inatosha bambuuuuucha tu.ndio nikija natafuta nyumba ya kupanga ,sitaki kukaa kwa ndugu zangu kwasababu mimi very independent.
naona jamani badala ya kunijibu maswali yangu mnanishambulia na kunirejeshea maswali mimi instead of giving me the idea hiyo cost of living .
sababu ya kuuliza hivyo kwasababu mimi ni mtu wa budget sasa nataka kujua nichukue kiasi gani ili nipate kuwasaidia ndugu zangu pamoja na expenditure zangu mwenyewe.kuna mtu kaniambia nichukua 500 dollar lakini nahisi haitatosha kwa miezi 4 maybe one month is enouph.
nawasikia watu kwamba maisha ni expensive siku hizi huko.