jana nilipokea msg sasa nikashindwa kuielewa niitake as a joke au ndio njia ya kuwakumbuka wapendwa wetu??
it goes like this....
" Huko Mbinguni leo kuna sherehe, vijana Complex na Vivian hatimaye wameamua kufunga ndoa....wageni rasmi ni mwalimu Nyerere na Karume. Mc ni Amina Chifupa. Kitengo cha burudani yupo John Mgema, Steve 2k, Tx Moshi na Omary Kopa.kitengo cha uchekeshaji yupo Max.Mkata keki ni Salome Mbatia.Kamati ya ulinzi yupo Chacha Wangwe.
imebaki kadi moja je tukutumie?
wasiliana na aliyeko kitengo cha kukaribisha wageni mheshimiwa Izrael "
jana nilipokea msg sasa nikashindwa kuielewa niitake as a joke au ndio njia ya kuwakumbuka wapendwa wetu??
it goes like this....
" Huko Mbinguni leo kuna sherehe, vijana Complex na Vivian hatimaye wameamua kufunga ndoa....wageni rasmi ni mwalimu Nyerere na Karume. Mc ni Amina Chifupa. Kitengo cha burudani yupo John Mgema, Steve 2k, Tx Moshi na Omary Kopa.kitengo cha uchekeshaji yupo Max.Mkata keki ni Salome Mbatia.Kamati ya ulinzi yupo Chacha Wangwe.
imebaki kadi moja je tukutumie?
wasiliana na aliyeko kitengo cha kukaribisha wageni mheshimiwa Izrael "
wajimini plz plz don get me vibaya...me too iliniuma kuipata dats why i wanted it kuja hapa nipewe mwongozo kimaadili!!!
could any one help me on how to close a thread or if its possible akaifunga hii for me!
samahanini kwa wale wooote niliowakosea or kwaza kwa namna moja au nyingine!
Hizo ndio faida na hasara za hii mitandao yetu ya simu. walipoanzisha Extreme watu wote walifurahia na ndipo sms za ajabu kama hiyo, nyingi za matusi na kadha wa kadha za kupotezeana muda na kujaziana inbox ktk simu zilipoanza kutoka, na kusambaa vibaya sana ktk simu za watu wote. mbaya zaidi sms nyingine ikiingia tu unashtuka na kufuta mara moja kwani haiwezi kukaa kny simu isije ikazima bure.
kwa hao wanaotuma hizo sms (na uhakika ni watu wa mitandao ya simu, maana wanaziita fowarded sms, yan ukipata mtumie mwenzio) wanafanya hivi kama biashara bila kuangalia ni nini wanachoandika.
did you see sms iliyoenea siku ya nyerere day ya kuombea mwinyi, mkapa, kikwete wafe kwa kuongozana na nyerere ili sikukuu zifuatane zote mwezi wa 10?
so guys kwa wenye heshima ni bopra wasiwe wanazi foward ili wakose soko.
jana nilipokea msg sasa nikashindwa kuielewa niitake as a joke au ndio njia ya kuwakumbuka wapendwa wetu??
it goes like this....
" Huko Mbinguni leo kuna sherehe, vijana Complex na Vivian hatimaye wameamua kufunga ndoa....wageni rasmi ni mwalimu Nyerere na Karume. Mc ni Amina Chifupa. Kitengo cha burudani yupo John Mgema, Steve 2k, Tx Moshi na Omary Kopa.kitengo cha uchekeshaji yupo Max.Mkata keki ni Salome Mbatia.Kamati ya ulinzi yupo Chacha Wangwe.
imebaki kadi moja je tukutumie?
wasiliana na aliyeko kitengo cha kukaribisha wageni mheshimiwa Izrael
"