MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #101
TF miaka 13 inajumuisha na ile ambayo alikuwa hajaoa.........nadhani ndia yake kwa sasa itakuwa na kama 5 hivi na hakuacha kumchombeza dada hata akiwa ndani ya ndoa yake........so kuiweka sawa sentence yako ni kuwa umeoa for 5 years na bado unamchase mwanamke uliekuwa unamchase for teh past 8 years........... I just wish dada angeopen up more kunipa sababu za kumgomea jamaa hiyo miaka 8 kabla hajaoa!! Mwe duniani jamani ahYou are in marriage and you chasing someone for 13 years na machozi juu ahaaa this is purely usanii at its best kweli watu hawaheshimu NDOA zao.
.........Yaani nyamayao mie kama nilivyosema nimebaki natoa mijicho tu ka tukutuku gizani............ hata sidhani kama aliuliza maswali haya maana kwa maelezo yake ni kuwa mkaka alianza kumweleza jinsi alivyohangaika kumwonyesha anampenda tangu zamani (akaanza kunarrate stories na kutoa scenerios kibao huku yakimmiminika......sasa sijui dada ni ile guilty consciousness au vipi maana ni kweli alikuwa anamwignore na anasema kuna wakati aliwezasms zaidi ya mwezi asijibiwe (yaani dada harespond ili kumkatisha tamaa) Sasa kinachonishinda mie ni kuwa kwa sasa hivi huyu mkaka anataka iweje!! Na cha kuchekesha anamtreat mtoto wa dada (ambaye ni mkubwa kwa wanae) kama mwanae loh...........eti dada anasema kuwa huwa anasema yeye ni baba wa watoto .... including wa dada. (I hope wahusika hwaijui JF mbona ntakoma!)
hapa inaonyehsa dada nae ameanza kuhamacka....hebu mwambie ahoji hayo maswali na atumie akili yake ya zaida hapo coz kupata jibu la "tutaoana" ni easy kwa mwanaume, sasa wataoanaje/kivipi/itakuwaje kwa mwenzie hapo dada kilegea ataambiwa"tutaonana tu ucjali"...halafu inafuatia hadith ndefu....naona kama dada akatize mawacliano kabisa na huyu kaka, nahic hawatafika mbali.
Nimegundua kitu kwenye hii mada. Watu hawaheshimu kabisa ndoa! Inatisha sana aisee. Nawasikitikia wote mlio kwenye ndoa.
TF miaka 13 inajumuisha na ile ambayo alikuwa hajaoa.........nadhani ndia yake kwa sasa itakuwa na kama 5 hivi na hakuacha kumchombeza dada hata akiwa ndani ya ndoa yake........so kuiweka sawa sentence yako ni kuwa umeoa for 5 years na bado unamchase mwanamke uliekuwa unamchase for teh past 8 years........... I just wish dada angeopen up more kunipa sababu za kumgomea jamaa hiyo miaka 8 kabla hajaoa!! Mwe duniani jamani ah
Sometimes nahisi mapenzi wala hayana tatizo ni sie wapendwaji na wapendaji ndo tunayacomplicate!!
TF, dada'ke Mwj1 hajaolewa bana, kazaa tu na mtu.
hahahaha!
Wengine 2shatolewa machozi na makamasi.
Wizi mtupu.
... mapenzi wala hayana tatizo ni sie wapendwaji na wapendaji ndo tunayacomplicate!!
inatisha sana mkuu... naogopa pia, inaonyesha infidelity is there to stay
Mbu,lakini njemba inayomtamani dadake na MwanajamiiOne si imeoa? Au mimi ndo nimesoma na kuelewa vibaya? Na kama njemba imeoa, wewe unaona ni sawa tu hiyo njemba kumfukuzia dadake na MwanajamiiOne?
Halafu hapa mke wa hiyo njemba ndo kasahaulika kabisa. Poor thing.....no symphathy for her!
...mnh?! sijui ni mimi au na nyie mmehisi chochote?
Kwa mara ya kwanza tangu nimfahamu MwanajamiiOne, anakosa majibu mepesi
kwenye kesi nyepesi kama hii. MwanajamiiOne,... Si kila kilio kinamaanisha Uchungu.
Nyamayao nawe hebu punguza maswali bana, maswali yako yamekuwa magumu mno kwa Mwj1 bana.
Let's have a break.
TF miaka 13 inajumuisha na ile ambayo alikuwa hajaoa.........nadhani ndia yake kwa sasa itakuwa na kama 5 hivi na hakuacha kumchombeza dada hata akiwa ndani ya ndoa yake........so kuiweka sawa sentence yako ni kuwa umeoa for 5 years na bado unamchase mwanamke uliekuwa unamchase for teh past 8 years........... I just wish dada angeopen up more kunipa sababu za kumgomea jamaa hiyo miaka 8 kabla hajaoa!! Mwe duniani jamani ah
Sometimes nahisi mapenzi wala hayana tatizo ni sie wapendwaji na wapendaji ndo tunayacomplicate!!
Mbu,lakini njemba inayomtamani dadake na MwanajamiiOne si imeoa? Au mimi ndo nimesoma na kuelewa vibaya? Na kama njemba imeoa, wewe unaona ni sawa tu hiyo njemba kumfukuzia dadake na MwanajamiiOne?
Halafu hapa mke wa hiyo njemba ndo kasahaulika kabisa. Poor thing.....no symphathy for her!
Mbu mie hata sijui kwa kweli labda nikijaliwa kukaa chini na huyu mkaka ninawezatell baada ya kumswalika kwa sababu natamani sana nisikie upande huu lakini dhamira inanishtaki.....ni kama kutaka kuhalalisha uzinzi .............supposed mkaka akisema yuko unhapply married ...............nitajikuta nakwama uwiii..............mnh, nahisi karibia utatupatia jibu lakini mimi nataka kwanza uniambie kama ahadi za huyo kaka zinatekelezeka au la. Anataka kumuoa (iwe bomani, au kimila?) au lengo lake wawe wanaibia tu?
MJ1 inaonekana huyu jamaa hata his poor wife kamsahau kabisa its a pity kama ulivyosema we are the ones who complicate things si ajabu mama wa watu hana thamani tena kwa huyu jamaaTF miaka 13 inajumuisha na ile ambayo alikuwa hajaoa.........nadhani ndia yake kwa sasa itakuwa na kama 5 hivi na hakuacha kumchombeza dada hata akiwa ndani ya ndoa yake........so kuiweka sawa sentence yako ni kuwa umeoa for 5 years na bado unamchase mwanamke uliekuwa unamchase for teh past 8 years........... I just wish dada angeopen up more kunipa sababu za kumgomea jamaa hiyo miaka 8 kabla hajaoa!! Mwe duniani jamani ah
Sometimes nahisi mapenzi wala hayana tatizo ni sie wapendwaji na wapendaji ndo tunayacomplicate!!
...La hasha bro, hii haikubaliki kabisa.
Ni sawa na mamsapu anarudi home na kunisimulia eti amekutana na Old Flame wake
akamlilia kilio cha kwi kwi.
Kwanza kitendo cha yeye kunihadithia hilo tayari atakuwa keshaniharibia siku!
That guy is morally bankrupt. What he is doing to his wife is wrong all day wrong. And hypothetically speaking, who is to say that what he is doing to his current wife he won't do it to your sister?
FA........samahani kama nimekuchanganya but ni vema ukauliza ulipochanganyikiwa nikajitahidi kukuumbia hayo maneno. Ninahitaji na kuomba ushauri wako kwenye hii issuepole pole dada, naona leo kuna technical mishap maneno mengi yanashindwa kuumbika.
Any way ulimi hauna mfupa na poleni sana kwa hii khabar tata.
............supposed mkaka akisema yuko unhapply married ...............nitajikuta nakwama uwiii.........
Samahani wakuu, nlikuwa nimetoka kidogo.
Kwahiyo mmekubaliana kuwa jamaa liendelee kulia au dadake mj1 aligawie kitumbua ili dume lisiendelee kulia?
Nimemkumbuka TX Moshi (RIP) ghafla........."ukiona mtu mzima analia, ujue kuna jambo"