Umeandika kinafiki sana, sema tu unaomba shirika life[emoji23][emoji23]
In life supporting machine!Life mara ya ngapi? If you have an investment which grab money from your pocket to stay alive for nearly a half of a decade. It's already in ventilator.
In life supporting machine!
Kwhyo kw akili zako biashara iliyotia faida ndani ya miaka kumi alafu ikaingiza hasara miaka mitano.Life mara ya ngapi? If you have an investment which grab money from your pocket to stay alive for nearly a half of a decade. It's already in ventilator.
Bwahaha!!faida iko wapi jomba, wazee wa ndege za kununua kw "cash"
Kwhyo kw akili zako biashara iliyotia faida ndani ya miaka kumi alafu ikaingiza hasara miaka mitano.
Then mwenzkao tangia aanze hajui faida ni nn, so hapo ni nani anayetoa pesa kutoka kw pocket