You know nothing about KE. You may have lived in KE for a short time and now you want to teach me about my country?Kenya doesn't lack food but majority of people are poor as hell. The Britiish and their local collaborators are holding hostage all the agricultural land.
That's why they can't afford to buy food like Qatar.
Chinese and desert Soudi Arabia have to donate food!!
Wacha nyumbu zilime afu sisi tutanunua.Nani amekuambia kama hupandi chakula hutakula? Sio lazima kila mtu awe mkulima. Sio kila nchi inashughulika na kupanda mimea kwa mfano Qatar na Saudi Arabia hawajawahi ona jembe wala tractor na wanakula kukushinda. Nyinyi pandeni sisi tutanunua kutoka kwenu.
Nani amekuambia kama hupandi chakula hutakula? Sio lazima kila mtu awe mkulima. Sio kila nchi inashughulika na kupanda mimea kwa mfano Qatar na Saudi Arabia hawajawahi ona jembe wala tractor na wanakula kukushinda. Nyinyi pandeni sisi tutanunua kutoka kwenu.
aa wapi??? unazani 2020 ni mbali? labda 2025 ndio mutatolewa lakini kwa sasa mutabaki kuwa LdC mpaka mutie akili.Tz is on the move,by 2020 redshed will b no longer
Lakini majirani mnahali mbaya zaidi mnakwama wapi KwaniAngalau mtoke huko ili nasi tuwache kuwatusi. Tumechoka kuwabeza.
Tuliza balls buda, kama nyie nyumbu mlitoka why do you think sisi hatutatoka?aa wapi??? unazani 2020 ni mbali? labda 2025 ndio mutatolewa lakini kwa sasa mutabaki kuwa LdC mpaka mutie akili.
ion.... november ndio hii inakaribia, nipe updates za esjiarrr niandae passport yangu
lini Kenya ilikuwa lDc? Kenya haijawai kuwa lDc hata siku moja bruh. hapo awali, countries zilikuwa ranked as in 1st World.... mpaka 4th World,,, Kenya haikuwai kuwa levo moja na lDc tz ama kama una kumbukumbu, lete tafadhali.Tuliza balls buda, kama nyie nyumbu mlitoka why do you think sisi hatutatoka?
Per capital as per ministry of finance said it all ,per capital of $1090 n we r growing at 6+%annually
lini Kenya ilikuwa lDc? Kenya haijawai kuwa lDc hata siku moja bruh. hapo awali, countries zilikuwa ranked as in 1st World.... mpaka 4th World,,, Kenya haikuwai kuwa levo moja na lDc tz ama kama una kumbukumbu, lete tafadhali.
nipe updates za esjiarrr niandae passport yangu na mapema maana mwezi november ndio huu unawadia
tatizo ni kuwa, here we eat quality foods while you eat quantity. hatujazoea kula ubwabwa, kushindia mihogo kama ngedere ama kunywa uji siku nzima kisha kila kitu freshi tu. huku tumezoea kula burgers, pizza ama yorgut.Sasa ninyi mido inikamu kantrii mbona mnapewa misaada ya chakula karne hii [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ni nini.
tatizo ni kuwa, we eat quality foods while you eat quantity. hatujazoea kula ubwabwa, kushindia mihogo kama ngedere ama kunywa uji siku nzima kisha kila kitu freshi tu. huku tumezoea kula burgers, pizza ama yorgut.
if i may ask, when is the last time you drunk milk tea?Nyanyinyo nyi nyuwa we nyit nywalitwi nyoods [emoji23][emoji23][emoji23] bure kabisa,
Unataka kuniambia watu wa turkana na zile counties zingine 24 ambazo hazina chakula wanakula quality foods,
Hivi kwanza unajua kuwa kuku wanaoliwa Tanzania ni wengi ssna mara mia ya wanaoliwa kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
if i may ask, when is the last time you drunk milk tea?
nilitarajia utadanganya. hapo ulipo najua umeshindia uji wa chumvi tangu asubuhi hadi ubongo wako umejaa uji tupu. sababu moja ya tz kuwekwa kwenye la nchi bogus na shith0le kabisa ulimwenguni ni pamoja na utapia mlo/ malnutrition.Leo asubuh tena sio ya unga yaliyochakachuliwa kama hayo unayokunywa wewe [emoji23][emoji23][emoji23],
Nina ngombe wawili wa maziwa.
nilitarajia hautasema ukweli. hapo ulipo najua umeshindia uji wa chumvi tangu asubuhi hadi ubongo wako umejaa uji tupu. sababu moja ya tz kuwekwa kwenye la nchi bogus na shithole kabisa ulimwenguni ni pamoja na utapia mlo/ malnutrition.
2025Tz is on the move,by 2020 redshed will b no longer
Ldc but hatupewi misaada ya chakula karne hii kwa sababu tuna chakula cha kutosha [emoji23][emoji23][emoji23]
Hello dumbass.
Tanzania is not there because there is no country that can accept witches on their soil[emoji23]Jifariji [emoji23][emoji23][emoji23] inaruhusiwa pia
Tanzania is not there because there is no country that can accept witches on their soil[emoji23]