Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Naona taa nyekundu ya hatari kama inataka kuwaka vile....
 
Mmmmmmmmmh hapana nimegoma nimekataa nimesema nooo sitakiii.....!!!
 
Yakianza kushinda watu yataanza na wewe
Kila kona unatongoza tu na ole wako ujisogeze kwa Chocs lazma nikuvimbishe masaburi uanze DODOMA-SINGIDA DODOMA -SINGIDA Hahahahaaa kitu wowowooooo
Ha ha ha ha ha ha...he he he he heee,uwiiiiiiiii....
 
Mi hapa i'm just waiting for Chocs, kwenye kufanya maamuzi magumu, kumwondolea ubabaishaji wa mapenzi anaoupata toka kwa Erickb52...
Afu tukitengeneza couple ndiyo mashindano yaanze rasmi..
Pls endelea tu mbele me siwezi kuamua kuja kwako...bado nampenda Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…