Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Khaa!! na uzee wote huu bado mnataka kunishindanisha kwenye haya mashindano...nyie endeleeni kushindan lakini sisi tunaendelea kufaidi matunda ya uumbaji...
My honey bunny measkron come dear lets show some loveeee!!!! :A S-heart-2::A S-heart-2:

Am here my darling husband watu8, daddy dearest Nobel husbands prize winer..... huyu Erickb52 anataka kutushindanisha na vijana wakati sie ndoa yetu wakongwe!!
 
Last edited by a moderator:
hapana laaziz alinidanganya yule kisha akanizoa kama karanga nami nilidanganyika kwani alitumia lugha tamu, samahani sana kwa jambo hilo isitoshe nshazaa nae sijui itakuwaje? nisamehe baba mchungaji
halafu kumbe uliniacha bila kuniambia ukaenda kwa Mentor ! we Ladyfuraha ww!
 
Last edited by a moderator:
hapana laaziz alinidanganya yule kisha akanizoa kama karanga nami nilidanganyika kwani alitumia lugha tamu, samahani sana kwa jambo hilo isitoshe nshazaa nae sijui itakuwaje? nisamehe baba mchungaji
aaaaah usishawishike kihivo mpenzi si unajua nakupenda sanaaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…