mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 657
Aah Aah . . . hiyo inaonyesha kuwa utakuwa unafanya maamuzi yako mwenyewe bila kuconcider upande wa pili.
Khaa!! na uzee wote huu bado mnataka kunishindanisha kwenye haya mashindano...nyie endeleeni kushindan lakini sisi tunaendelea kufaidi matunda ya uumbaji...
My honey bunny measkron come dear lets show some loveeee!!!! :A S-heart-2::A S-heart-2:
Sijambo mama mchungaji,habari ya kwako unaendeleaje?
Ndo useme mwenyewe sasa. Mi sipendi ligi kama lileeee.
Bishanga ni cuckold
poa kabisa ila shughuli zinabana acha tunaendelea vizuri,
za huko ulikojichimbia.
aaaaah usishawishike kihivo mpenzi si unajua nakupenda sanaaaaaa!hapana laaziz alinidanganya yule kisha akanizoa kama karanga nami nilidanganyika kwani alitumia lugha tamu, samahani sana kwa jambo hilo isitoshe nshazaa nae sijui itakuwaje? nisamehe baba mchungaji
aaaaah usishawishike kihivo mpenzi si unajua nakupenda sanaaaaaa!