Hawezi reply tofauti...mi ndio mumewe pekee mtoto nimempa mahaba ya kweli sio ya kwenye karatasi
Hivi wewe kijana unamsahau mdogo wako stevoh ambae nimemuowa mtoto mlokole Zion Daughter??
Siamini nakata rufaaa
sio kutokuwepo kwangu mchukulie as advantage...
Erickb52 naomba ukae na Baba V najua mtapata la kuniambia kuhusu Evelyn SaltMkeo ndio kababaika na vijana wa jukwaa la wakubwa.
Nao wakamsogeza.
yalinikuta makubwa nikashindwa my dia..
Unanitisha mamii..Itabidi nikutafute
Mimi ndio mpya, so unanishindanisha nae...hao wengine zilipendwa