Couples Love..... Is Physical Attraction Necessary ?

i guess inategemea na wewe mwenyewe ukoje,kama mtu unajijua mzuri unaamini unavutia na unapenda kujiweka smart-utataka mtu wa aina yako.....ila kama viwango vyako ni duni kama mie utasettle for less:laugh::laugh::laugh::twitch:

Going for the second best???? πŸ™‚
No I mean lets say am good looking and very smart...., will you be suprised if I go for a not so good looking girl ? au watu wataraise eyebrows maybe am materialistic...., na kama am wealthy people will say nimelogwa.... Point being why cant people just accept maybe there is something more just just looks?
 

Mkuu tabia lets say upendo, uchoyo, hekima, na busara...., can you really learn it abrubtly au ni process ambayo ni kama kujifunza kutembea? Wewe tabia ulizobadilika labda ni kuacha pombe na kufukuzia kina dada.., ila kama tabia yako kuanzia mwanzo ingekuwa upo considerate usingemwacha mwenzako ndani anaumia wewe ukaenda kufukuzia sketi yes now maybe you are matured (lakini kuwa considerate does not need age)

Wanawake change of hormones is not an excuse kutoka nje ya ndoa...., kama mwanamke ana maadili and she values herself and family hatatoka nje sababu ya excuse of change of hormones.... No matter what happens bado hatajieshimu....
 

unajua unapokutana na mtu anakuvutia kwa jinsi alivyo..
huo ndo ukweli wa mambo..
na kama hujakutana na mtu na unaongea nae tu personality yake ndo itakuvutia..

kwa mimi hiyo everlasting love lazima iwe na combination ya hizo hapo juu the inner and the outer beauty..

tuongee ukweli tu ....
 
Mkuu tabia lets say upendo, uchoyo, hekima, na busara...., can you really learn it abrubtly au ni process ambayo ni kama kujifunza kutembea?

Shida yangu ni kuwa unajaribu kusema hiyo process infika mahali inakoma...mimi nasema hiyo process haikomi...inaendele maisha yako yote (otherwise, we wouldn't have the so called 'born agains'...if at all you believe them!). Tunaendelea kujifunza na kubadilika accordingly. Elimu haina mwisho....na asiye funzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu! Mtu mchoyo anaweza kubadilika, mwongo anaweza kubadilika nk nk.

Labda ili tusipoteze mwelekeo wa mada, niseme hivi, kimsingi love ni emotional process ambayo haiwezi kuhusisha physical aspects peke yake au soft aspects peke yake...naturally it is always some sort of a mixture/balance of the two....tunatofautiana viwango tu katika mchanganyiko huo. Wengine wanaiweka kwenye stages tatu: Romantic feelings, then physical attraction and lastly, emotional attachment.
 
 

Combination of the two ni perfect Love...(Oooh I Love One of Those, Remember the Marriage made in Heaven I told you about πŸ™‚ )..., Lakini btn the Two Outer Beauty does not last lakini Inner Beauty Lasts for a lifetime because that does not change...
 
Love is the emotion of strong affection and personal attachment

Je unaweza ukafall for Kindness, Understanding, and Good Qualities without physical attraction


naweza ndio. Ukitaka ufurahi maisha ya mapenzi usiweke physical attraction kama kigezo cha kumpenda mtu.
Kwanza mimi nawaogopa wanaume wazuri wa sura na maumbile. Lol!
Wamekaa kimayai halafu wengi wana nyodo (ooh jamani, samahani kwa mahandsome boy wa jf).
 
So unakubaliana na mimi when looking for a wife Uzuri usiwe kigezo..... hili liwe ni nyongeza.... Just a Bonus..., Mungu akinibariki kwamba anavyo vyote thank god..., lakini kama hajabalikiwa sura vingeni ni vya maana sana...?? au...
 

Yaani you have nailed it... hizi kelele zote nilizopiga wewe umeziweka sawa kwenye three sentences thanks.... πŸ™‚, Tena ikija kwenye mwenza wa kufunga pingu za maisha hiki kigezo usikiangalie saanaaa, sababu uzuri uanza kuyeyuka na mazoea unamuona ni wa kawaida na sio kama zamani
 

Tumekusamehe teh teh:biggrin1:!
 

hahahh lol ni kweli outer beauty has its limit...
but u have to enjoy and own it b4 its gone..
and inner beauty like how u say lifetime..

u know even when ur 100 years old and show ur great great grand children pictures
they are gona say grand dad u look handsome..

they are not gona say u have got nice personality..

thats y we have to enjoy our outer beauty now coz is not gona be there forever......
 

Nakubaliana na wewe in so far as passing good genes to the children.... πŸ™‚ lakini hili naongelea from my own point of view nikiwa natafuta mke sijaangalia saanaa uzuri wa nje hiyo ni kama bonus...., akiwa mzuri Ooh thank god lakini, kama pote kuna tick hili la uzuri nitautafuta baadae..., afterall till death do us part is a long time.... na beautiful ones are not yet born
 
Tena ikija kwenye mwenza wa kufunga pingu za maisha hiki kigezo usikiangalie saanaaa, sababu uzuri uanza kuyeyuka na mazoea unamuona ni wa kawaida na sio kama zamani
kweli kabisa maana wazuri nao wanazaliwa kila siku sasa sijui utamuacha yupi umchukue yupi.

Uzuri wa nje kama tabia za ndani ni mbovu hata huo uzuri unakuwa hauonekani tena.
 

Usije tu ukaanza 'kuona noma' kuambatana nae! (joke:wink2πŸ™‚

Kuna namna mwili na akili yako inafanya kazi ya kuchagua ambayo huwezi kucontrol kwa namna unavyofikiri. Akili ya mwanadamu inauwezo mkubwa sana na inafanya kazi kimaajabu sana. Hivyo unavyosema 'sijaangalia saana uzuri wa nje', I can bet katika selection/sorting process akili yako imefanya uchambuzi kwa kuzingatia vigezo vingi sana ikiwa ni pamoja ni physical appearance.

Actually kuna nyakati akili yako inaweza hata ku decode correctly information ambayo imo kwenye 'invisible' energy ambayo mtarajiwa/mwenza wako ana dissipate (ndio utasikia watu wanasema listen to your heart, i have a gut feeling, intuition, instinct nk nk).
 

excuse me hapo kwenye green imeniuma sana hahahahahah lol

haya bwana mie nikiwa natafuta wangu ntaangalia vyote ...
na ntamtafuta ambae anaangalia vyote hahah lol
 

hapo kwenye green :amen::amen:............
yaani hicho ndo kitu cha kwanza cha kufanya uonge na mtu..
labda mapenzi ya internet hahah lol
 

Hapana mkuu kweli kabisa nipo radhi kusacrifice huo uzuri wa sura nikaenda kwenye inner beauty.., mfano mimi I always fall for kind and down to earth people....,

physically I think Toni Braxton, Halle Berry na Lauryn Hill (alivyokuwa young) are cute... lakini do you think kwamba hawa wakija wakataka tufunge nao ndoa takubali....? Think about it the lifestyle na maisha yatakavyokuwa huenda ikawa living hell I had rather go for a girl next door...., whose smile although not magnetic I know its genuine..

Ila for a day out with someone Sitaangalia tabia.... lakini pingu za maisha...??? I would rather go for Whoopi Gorldberge lookalike..., thinking about it wouldnt you like such a charming, funny woman as a wife..? huyu atafanya nyumba yako iwe furaha kila siku kuliko A Jennifer Lopez ambaye ananuna kila saa na wageni wakija anaona uvivu hata kuwasalimia..., lakini A perfect combination is to have A whoopi Gorldberge inside Toni Braxton..., But life aint so Kind...
 
excuse me hapo kwenye green imeniuma sana hahahahahah lol

haya bwana mie nikiwa natafuta wangu ntaangalia vyote ...
na ntamtafuta ambae anaangalia vyote hahah lol
Hapana the meaning behind the Beauty aint yet born ni kwamba leo nakuona AD mzuri kwelikweli, nafall in love, kesho namuona Hus..., kumbe she is even better kesho kutwa aah kumbe na huyu yupo? before you know it nimemaliza half of JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…