Couples Verification!

Erickb52 nakupenda sana mume wangu,ile kazi ulonipa inanikip busy acha tu..tupo pamoja..
Nakuandalia file zingine hubby wangu.
 
Last edited by a moderator:
Nimetembea na huu uzi zaidi ya mara mbili;
Naona kuna njama zilizofanyika kumwangusha Baba V;
Naungana na Ruttashobolwa pamoja na kiwatengu
kupaza sauti ya kusema kuwa Erickb52 siyo mwenyekiti halali wa ndoa
hapa cc.

Nipo tayari kutoa taarifa kwenye vyombo husika kuwa huku cc tumevamiwa.
 
Last edited by a moderator:
Kwenye Red unachanganya. hapo juu ulianza vizuri, ukaharibu hapa chini.
Afu wataje wake zako wote....

Chezeiya viroba na banana weiye? Ukiplus na bhange meli yaenda mrama. Msamehe cheaman mkuu!

CC: Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Nilisingiziwa mmoja humu nilitaka kutolewa macho sasa hivi nimekuwa mwoga!!nauoga wangu unanisaidia maana humu nikama Dangulo upende usipende!Kwa baadhi "quote"

Bora umekuwa muoga ukishindwa kabisa uniambie

hahaa Bishanga nahisi ana miliki danguro.........
 
Last edited by a moderator:
Upara umempata mwenye pesa na ngoma imemkuta mzaramo...chezeiya.

Siku hizi kaka Kaizer akitoka tu kwa ofisi, straight ome.

hahaaa haaaa dada mtu utasutwa weye.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…