[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Daby and husna muba
mkuu wachumba wote hao... hata nanihii yule humtaki..!!!!!naona watu mnajisevia watoto wazuri tu humu....sisi ngoja tuwe watizamaji tu huenda nasi tutapendwa siku moja.
hapana aiseee basi utakuwa na nyota ya chips mayaiNothing zaidi ya vya kawaida.. jina lako zuri
Kujitangaza au kutokujitangaza ni maamuzi binafsi na yafaa yaheshimiwe.Hizo sinema tu....wenye wapenzi wetu humu hatuwezi kujitangaza!
itakuwa mbuzi wa mnadaNi my private property nawashangaa hao wanaomtajaja mke wangu
Muulize mwenyewe asemeitakuwa mbuzi wa mnada
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] UwiiiiiiiiiiiiDeo kisandu na faiza fox
Na mimi pia...😛Tumebak mimi na wewe tu[emoji6]
Mhhhhhhhh hivi yule wifi yangu Scorpio....ilikuwaje?[emoji85]Compact na Compact
Seriously? I cant believe u r incensed. Now let me behave you and the bold are for real and the best couple in jf.Kujitangaza au kutokujitangaza ni maamuzi binafsi na yafaa yaheshimiwe.
Wewe kama nani wa kuyaita mahusiano ya wengine sinema? Nakuona tu mara nyingi unayaita mahusiano yangu na Bold movie...
Behave bhana,this is too much.
kwahiyo ile picha ndo yeye kabisa mkuu na mimi nichangamkie fursa ?ha ha ah .. wewe utakua humjui vizuri.. huyu ni ndugu yangu ana mpunga mrefu hatari.. ndio maana watoto wanamzimikia .. na sura yake ya mitindo.
maana ana kasura kazuriiii kama.........ha ha ah .. wewe utakua humjui vizuri.. huyu ni ndugu yangu ana mpunga mrefu hatari.. ndio maana watoto wanamzimikia .. na sura yake ya mitindo.
Hahahaha, dada bhanah!.... Hahaha, nilimsahau. Nimemuacha kwanza asome huyo mtoto. Akimaliza tutaendelea. Seriously nimecheka sana.Mhhhhhhhh hivi yule wifi yangu Scorpio....ilikuwaje?[emoji85]
Hahahaaaaa hata mimi nimecheka sana wakati nilipokuwa natype hiyo post.Hahahaha, dada bhanah!.... Hahaha, nilimsahau. Nimemuacha kwanza asome huyo mtoto. Akimaliza tutaendelea. Seriously nimecheka sana.
NimekuelewaKujitaja ningesema labda mimi na faizafoxy...hapo niliposema sisi nimevaa uhusika ili ujumbe wangu uwe na uzito.
Usiwaze sister. Second year now, hope atamaliza mwakani kama ataweza kuhimili mishale ya Supp na Disco. Hahaha, 2019 mambo yakienda vema vitu vingine vitafata.Hahahaaaaa hata mimi nimecheka sana wakati nilipokuwa natype hiyo post.
Nilitaka tu kukuonesha kuwa bado namkumbuka wifi,siwezi kusubiri amalize masomo muendelee [emoji4]
Nifah kuna mambo mengine kuyapotezeaKujitangaza au kutokujitangaza ni maamuzi binafsi na yafaa yaheshimiwe.
Wewe kama nani wa kuyaita mahusiano ya wengine sinema? Nakuona tu mara nyingi unayaita mahusiano yangu na Bold movie...
Behave bhana,this is too much.