Perpendicular
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,494
- 1,183
umetuonaaaa sisi watotoooo....jikaze kijanaaa.....Inaa ysijibu jibu maswali ambayo hayana miguu wala kichwa wanakuzingua hao watoto.
Ah ah ah ah ah ah [emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1] take easy mamaSitaki tena mitongozo ya JF, niliyemtumia picha akasema mimi ni kama sanamu la michellin sina hamu.
Utampata tu vuta subraJina langu bayaaaaa sipati partner.
Mkuu wa kitengo kaniachia mikoba..
Ila hawa utawaweza huwa wananitaja kwenye sifa mbaya mbaya tu nzuri mnatajwa nyie.
Hahah....haya bwana nitakupigia nitakupigia.Ha ha ha, mkuu mi sina neno, unajua vitengo vya back office hatupewi sifa kama nyie wa front office.
na marupurupu kama hayo yanaangukia kwenu, itabidi tufanye rotation aisee.
Mbona upo kinyonge sanaAaaa hamn kitu
Wewe na Nani.....??Angel Nylon na.....
bas na thithi tuwe couple[emoji4]Na mimi pia...😛
Siamini kama dada yangu Nifah ananiona mimi hater......
Hujambo shemdarling?Stunter and jj,e
CHIKIRA MTABARI na KishaijaNgoja nione mi ntatajwa niko na nani
Wee usiseme hadharani kaka ake nipo apa kama mrithiHiyo couple ilishavunjika