Tayari umejitangaza japo kidogo kaka,Hizo sinema tu....wenye wapenzi wetu humu hatuwezi kujitangaza!
Kweli mkuu. Watu tupo sooo deep na wenza wetu. Kimya kimyaaa!Hizo sinema tu....wenye wapenzi wetu humu hatuwezi kujitangaza!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
MmmhMadame S na multiphill90 [emoji3][emoji3][emoji125][emoji125]
ha ha ha duuu.. ama kweli Daby ni mtu maya sana.ni kweli ni public property
Ni my private property nawashangaa hao wanaomtajaja mke wanguHuyu miss Chagga ni public property au??[emoji1][emoji1][emoji1]
Yes mwanamke tena mzuri saanaHuyo mulhat ni wa kike?
hahaha ..duuh nimecheka sana. hapo ujue aliropoka tuUnamla nani?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
brotherYes mwanamke tena mzuri saana
Nilishakuonya toka jana huyu mfanyakaz wa jf ana gubu na wivu balaa,,dady mbona mm masai mwenzako lakin nakula kwa macho tu?? Tulia wewe,,au wewe laiyoniii??ha ha ha duuu.. ama kweli Daby ni mtu maya sana.
yani hadi dada yangu miss natafuta analijua hilo. huyu huwa hadanganyagi na harembi, yani akisema kitu 100$% ni ukweli
ha ha ah .. wewe utakua humjui vizuri.. huyu ni ndugu yangu ana mpunga mrefu hatari.. ndio maana watoto wanamzimikia .. na sura yake ya mitindo.Nilishakuonya toka jana huyu mfanyakaz wa jf ana gubu na wivu balaa,,dady mbona mm masai mwenzako lakin nakula kwa macho tu?? Tulia wewe,,au wewe laiyoniii??
Ha ha ha nan kakuambia mvaa rubega mjini ana hela?? Wavaa rubega mereran ndio komesha,hapa town atakua na kaz mbili ulinzi au kusuka mabinti labda ndio maana wanamgombeaha ha ah .. wewe utakua humjui vizuri.. huyu ni ndugu yangu ana mpunga mrefu hatari.. ndio maana watoto wanamzimikia .. na sura yake ya mitindo.
ha haha daby kazidi ,, daby cha wotemiss chagga kila mtu wake.. mna hela lakini ? naona kama kawa Daby
mwaaaMtzmweusi na Miss chagga
kwani umeambiwa kuwa yupo hapa mjini.Ha ha ha nan kakuambia mvaa rubega mjini ana hela?? Wavaa rubega mereran ndio komesha,hapa town atakua na kaz mbili ulinzi au kusuka mabinti labda ndio maana wanamgombea