Course gan ya VETA ni rahisi kupata kazi

Kv-london

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2,877
Reaction score
5,022
Wana jf kuna mdogo wangu(baba mdogo) ni wakiume yupo hapa Dar amemalza form four 2013 amepata division 4 ya point 39

sasa baba yake amemuambia anampa two weeks awe ameshafkria aende akasome course yeyote chuo cha ufundi veta.

je ni chuo gan cha veta chenye kutoa course vizur na course gan ambayo ina market kwa sasa ni rahis kupata kaz bila competion kubwa ya watu.

Tunaomba msaada wenu wa kimawazo ili huyu dogo aendlee kufurahia maisha coz he is so comfused in such.
YOUR VIEWS PLEASE!
 

jaribu hizi mkuu:
1. brickworks & masonry (3yr)
2. motor vehicle mechanics (3yr)
 
Mkuu huko VETA kwa hizo kozi ndefu huwa wanaanza januari, kwa maana hiyo asubiri mpaka mwakani hizo wiki mbili alizopewa labda itumike namna nyingine
 
Ahsanteni sana wakuu wote mlionyesha ushrikiano wenu kwa kumpa huyu dogo janja mwangaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…