Course ya Insurance and Risk Management

Suzy dotto

Member
Joined
Jun 8, 2023
Posts
22
Reaction score
29
Naomba wakuu angalau nipate hata pa kuanzia maana nimesoma diploma katika hii course lakini sina hata connection ya kazi yoyote hii imekaaje please msaada wenu
 
Kuna bro wangu nae kasoma hii course level ya degree, sizani kama kapata kazi.
 
Kunashkaji wangu alianza kusoma hii kitu, mwaka mmoja tu akatundika daluga akaenda kufanya mishe zingine
Leo anakaa mezani na wasanii wakubwa kupanga mipango anafahamika hadi hukoo nje ya nchi.
Ushauri wangu, wachana na connection, fanya ishu zingine while unangojea hii yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…