Course zitolewazo katika taifa langu na kupewa hadhi ya u special zimekosa impacts

Course zitolewazo katika taifa langu na kupewa hadhi ya u special zimekosa impacts

Young fadson

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2017
Posts
1,177
Reaction score
1,406
Tumekua wahanga wa elimu kwa kufata mihemuko ama kwa kutokua na uelewa na mambo yalihusulo taifa, serikali imekua kipofu kwa ktokua na maono ya moja kwa moja kwa vijana wa kitanzania.

Course zitolewazo katika taifa langu na kupewa hadhi ya u special zimekosa impacts za moja kwa moja kwa taifa , na research yangu inanambia viongozi hawana maono kwa kukifanya kilicho special kionekane special mbele za jamii.

Serikali haijui nin inapaswa kufanya ili kufungua milango kwa vijana iliyowapatia fungu la special faculty kule vyuoni au jambo hili hutokea na kuisha kama muujiza?
 
  • Thanks
Reactions: seu
Tumekua wahanga wa elimu kwa kufata mihemuko ama kwa kutokua na uelewa na mambo yalihusulo taifa, serikali imekua kipofu kwa ktokua na maono ya moja kwa moja kwa vijana wa kitanzania.

Course zitolewazo katika taifa langu na kupewa hadhi ya u special zimekosa impacts za moja kwa moja kwa taifa , na research yangu inanambia viongozi hawana maono kwa kukifanya kilicho special kionekane special mbele za jamii.

Serikali haijui nin inapaswa kufanya ili kufungua milango kwa vijana iliyowapatia fungu la special faculty kule vyuoni au jambo hili hutokea na kuisha kama muujiza?
Taja hizo course na umesema umefanya research, survey au situational analysis?
 
  • Thanks
Reactions: seu
Taja hizo course na umesema umefanya research, survey au situational analysis?

Taja hizo course na umesema umefanya research, survey au situational analysis?
Mfano, kuna coz baadhi like BIOPROCESS AND POSTHARVEST ENGINEERING(BPE) iPo Sua baada ya kukosa soko la wanafunzi kutoka vyuo vya kati na Form 6 degree yake imetolewa na kuachwa ktk Masters tu, taasisi nyingi zimekua unfamiliar na coz kias kwamba wahitimu wenyew ndo wanatumia nguvu kuinadi huku serikali ikiwa gizani, course hii ikipewa kipaumbele sioni nafasi kwa vijana kua wavuta bangi na walevi mtaani, course pekee ni full package


Wingi wa wahitimu wasio na future mtaani ni udhaifu mkubwa kwa serikali kwani kuwatumia ni njia iliyo wazi ktk kuupeleka uchumi wetu next level.
 
Mfano, kuna coz baadhi like BIOPROCESS AND POSTHARVEST ENGINEERING(BPE) iPo Sua baada ya kukosa soko la wanafunzi kutoka vyuo vya kati na Form 6 degree yake imetolewa na kuachwa ktk Masters tu, .

Hii taarifa ina ukweli?
 
Back
Top Bottom