Course

kundi la walimu lipo kwenye Gold gifted according to plato! napinga kimbilio la waliofeli sio ualimu, nimesomeka vizuri ?

huo ni mtazamo tu ila in real world ualimu kwa Tanzania wanaenda watu waliopigwa vitanzi na hata ukiwasikia malengo yao wengi wanaenda kufundusha sio kwamba wanapenda hizo kazi zao ndo maana hawafundishi kwa moyo mmoja na wengi wanamalengo ya kubadilisha fani zao za ualimu hapo tena kuna nini.....
 
Kaka sasa hapo umeeleweka,ikitokea hivyo basi akasome certificate ya banking and finance kama yupo dar ipo IFM pale nadhani itamfaa.

Good! that is what I need,God bless you.

Inaonekana tu kuwa unamtazamo chanya uliotayari kukabiliana na changamoto za maisha tangu mwazo nilihitaji mawazo ya namna hii lakini yalikuwa adimu sana,big up sana,nafikiri tena pasina wasi nitafuata ushauri wako
 

sory bro kama nilikukwaza hapo awali, kwa maelezo hayo sasa umesomeka vema.. mimi naona kama itatokea ivyo basi sio mbaya kwan nowdeiz vko vyuo vingi sana na anaweza kuanza na ngazi ya cheti(certificate) lakin hapo itategemeana na yeye angependelea nn kusomea sio tuu ilimradi anasoma bali je anasoma kutoka moyoni mwake na je anayo target na kile anachotaka kusomea?? mi siungi mkono m2 anakuambia aende akasomee ualimu wakat dogo yeye hana mood kabsa na uo ualimu.. wewe subiri kwanza dogo apige pepa ikitokea ivo bas mkalishe chini mdiscuss na ikibidi utarejea kutupa updates.. hop i said samthin
 
Muulize anapenda nini?Nakushauri asiende ualimu,unless kashindwa kabisa!!!apige IT ila mpunga unahitajika!!Kuna certificate pale IFM,UCC-udsm,DIT,ATc na vingine vingi,IT inalipa kaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…