Extrovert24
Senior Member
- Jun 23, 2022
- 144
- 211
Wakuu habarini za muda huu, poleni na majukumu na ni matumaini yangu kuwa mko vizuri kabisa.
Niende Moja kwa moja kwenye jambo langu, Naomba kuuliza ni course Gani ya certificate ambayo kijana akiisoma kiasi Fulani haitamchukua muda sana kupata kazi? Kijana amesoma Art subjects but alisoma pia na Chemistry.
Naomba kuwasilisha, Nasoma maoni yenu Wana Jamvi
Niende Moja kwa moja kwenye jambo langu, Naomba kuuliza ni course Gani ya certificate ambayo kijana akiisoma kiasi Fulani haitamchukua muda sana kupata kazi? Kijana amesoma Art subjects but alisoma pia na Chemistry.
Naomba kuwasilisha, Nasoma maoni yenu Wana Jamvi