G, wengine mila zao hawaruhusu kabisa hili.
ever had a thing with your cousin? lol
Hahaha maybe......or not 😛
nimesikia kuna baadhi ya 'culture' ukioa mke ambae aliwahi kuwa
na a thing with binamu yake....hai ishi....mkigombana tu
akirudi home anamtafuta 'cousin'....lol
ukisafiri tu 'cousin ' anatembelea home lol
Hapo lazima ukome kuringa! hahaha
Hahaha maybe......or not 😛
...Be specific please! 🙂🙂 labda unaweza kumsaidia huyu mdada 🙂🙂
Your post shows you are into the dude.
you can say that again................she's feelin' him too!
Mm ni msichana nina 24 yrs,last wk ndo nimekutana na cousin wangu for the 1st tym, before hatukujuana kabisa. Basi tulipojuana 2kafurah sn tukapiga story sn 2kagundua interest zinaendana sana, kumbe mwenzangu kanipenda tena mpaka analia yupo radhi asiende kazn ila aje 2pige storry nimemwambia ninampnz lakin hanielewi,pia nimemwambia sisi ni ndugu haelewi anadai ninasifa zote anazozitaka, na ananipenda kweli kuliko myboy, Sijui hata nifanyeje kunusuru undugu wetu.
mmmh jamani sitaki kuamini kuwa mtu anejua timbili timwili la asha ngedere anashindwaje kujua kiswahili cha cousin!! au lugha ya mjomba haipandi kabisa??? 'nwy ni mtoto wa mjomba au shangazi yakoHivi cousin kiswahili chake nini?Ah potelea mbali,inaonekana undugu ni kikwazo kuliko mpenzi wako,hilo nalo timbwili lingine!Sina jibu lake!
Mm ni msichana nina 24 yrs,last wk ndo nimekutana na cousin wangu for the 1st tym, before hatukujuana kabisa. Basi tulipojuana 2kafurah sn tukapiga story sn 2kagundua interest zinaendana sana, kumbe mwenzangu kanipenda tena mpaka analia yupo radhi asiende kazn ila aje 2pige storry nimemwambia ninampnz lakin hanielewi,pia nimemwambia sisi ni ndugu haelewi anadai ninasifa zote anazozitaka, na ananipenda kweli kuliko myboy, Sijui hata nifanyeje kunusuru undugu wetu.