Cover letter

sana kaka watu tunapishana sana inawezakana alikua anajua lakini hajui format ya bongo.. pamoja sana kip it up
 
ila sidhani kama kuna haja ya kulumbana kuhusu comet yake so swala nikumsaidia c unajua mfumo wa shule zetu my be alikuwa anasoma ili mladi afaulu mtihani tu
 
ujue wewe ni kati ya haya yafuatayo-mjinga-mtoto-unamzaha muda wote au keyjey
 
Ukiona tovuti za wenzetu za kusaidiana kwa mawazo mbalimbali hutashangaa sana ukija apa jf kwetu.

watu wanafoka kama vile hawana wakuwagombesha uko makwao.

mjinga ni wewe unaejifanya unajua kumbe mtupu. anayetaka kujifunza unampiga shushu.

embu badilika man
 
low thread<br />
<br />
stupid Rudi shule ukasome,,vipi umamaliza vodafasta?
<br />
<br />
Haijakaa vizuri hii.unahisi ww unajua kila kitu?ndio tatizo la wabongo wengi mkishajua kitu hamtaki kuelimisha wenzenu bali kudharau wasiofahamu kwa mtindo huu hatufiki.shame on you!
 
<br />
<br />
 
<br />
<br />
uko right ila naomba nitofautiane kidogo, mimi nafikiri si lazima sana address zote ziwe upande m1, inategemea unatumia format au style gani. Hiyo unayosema ni American style, lkn bado m2 anaweza kuweka sender's address kwenye top right corner kwa British style. Ila wengi hukosea kwa kuandika jina, hapa hakuna jina la sender. I STAND TO BE CORRECTED!
 
....Ssafi sana, nafikiri aliyeomba msaada atakuwa amefaidika na michango kama hii. WaTZ tunapenda mno kujifanya 'much know' na mara nyingi hujiona bora bila kujua kuwa kila mtu ni bora kwa nafasi yake.
 
low thread

stupid rudi shule ukasome,,vipi umamaliza vodafasta?

tatizo wana jf mko judgemental... Jamaa kauliza swali la misngi sana... Ila wengi wenu mmekimbilia kujibu bila kujiuliza kwa nini kauliza swali kama hilo... Post nyingi za kazi zinazopostiwa kwenye internet wansema send your cover letter and cv to the e mail above lakini hawatoe anuani ya adresee..... Hapa ndipo msingi wa swali lake ulipo kama unaweza kujibu katika hili nisaidie hata mimi
 
ila sidhani kama kuna haja ya kulumbana kuhusu comet yake so swala nikumsaidia c unajua mfumo wa shule zetu my be alikuwa anasoma ili mladi afaulu mtihani tu


tatizo wana jf mko judgemental... Jamaa kauliza swali la misngi sana... Ila wengi wenu mmekimbilia kujibu bila kujiuliza kwa nini kauliza swali kama hilo... Post nyingi za kazi zinazopostiwa kwenye internet wansema send your cover letter and cv to the e mail above lakini hawatoe anuani ya adresee..... Hapa ndipo msingi wa swali lake ulipo kama unaweza kujibu katika hili nisaidie hata mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…