kisha amwagie maji tuone kama kweli ni water proofUngeweka japo moja kwene simu ili tuone ikiwa kwene simu inaonekanaje
Ikiwa Kwenye MajiUngeweka japo moja kwene simu ili tuone ikiwa kwene simu inaonekanaje
Hahaa hapo ingependeza zaidIkiwa Kwenye Maji
Anaweka karatasi badala ya simuacha longolongo
weka hiyo simu kwenye maji na iwe on,na iwe ni smartphone
Ukiitiwa Fursa Ujue Wewe Mwenyewe Ndiyo Fursa🤣🤣🤣Watanzania bwana!
Nimeweka simu kwenye sufuria lenye maji nikarekodi video ila inagoma kuupload apa jamii forum kwaio nikaamua kupiga picha simu ikiwa kwenye maji. Nikaweka na chupa inaelea apo mnaweza mkaona. View attachment 1521221View attachment 1521222View attachment 1521223Weka video recording on then tumbukiza simu kwenye dishi lenye maji iendelee kurekodi ikiwa kwenye dishi la maji
Kwa picha hii tayari simu ishaingia maji[emoji23]Nimeweka simu kwenye sufuria lenye maji nikarekodi video ila inagoma kuupload apa jamii forum kwaio nikaamua kupiga picha simu ikiwa kwenye maji. Nikaweka na chupa inaelea apo mnaweza mkaona. View attachment 1521221View attachment 1521222View attachment 1521223View attachment 1521224
Lete uthibitisho Kama imeingia majiKwa picha hii tayari simu ishaingia maji[emoji23]
kwasababu mtoa mada hayupo hewaniLete uthibitisho Kama imeingia maji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwasababu mtoa mada hayupo hewani