#COVID19 Covid-19, "biashara" iliyoanza kimzaha mzaha sasa imekuwa rasmi

#COVID19 Covid-19, "biashara" iliyoanza kimzaha mzaha sasa imekuwa rasmi

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,684
Reaction score
2,156
Bara la Afrika tumepigwa tena na mabepari! Viumbe wenye mbinu na mbwembwe nyingi. Viumbe wasioogopa kupoteza wa kwao wanapokuwa na Jambo lao serious

Walipoitambulisha walianza marumbano wao kwa wao

China na Marekani wakatukanana hadharani na kutunishiana misuli

Kila mmoja alimtuhumu mwenzake kufanya ujinga. Lakini leo mataifa tajiri duniani G7 wamekaa meza moja ya mduara na wamegonga cheers "kusherehekea" mafanikio

Ukipenda nikasirikie au tukana tu (chalamila style) nikisema wao wanasherehekea mafanikio halafu nami nitakuuliza Kama sio kusherehekea mwanzo kilichowafanya wavimbishiane ni nini?

Kilichowafanya wagombanie chanjo zao zisajiliwa na kuidhinishwa ni nini?

Tukatae tukubali hii ni biashara na soko li tayari kununua bidhaa za Covid-19

Wakikaa G7 wakakubaliana jambo nani wa kupinga?

Biashara nyingi mpya huanza na promotion na wafanyabiashara smart wanajua promotion wanayofanya watafidia vipi

Watu wao wameshachanjwa na chanjo ya Covid-19, nani mwingine atakataa?

Utawezaje kusema zina madhara wakati mzungu chanjo hiyo hiyo kashashindiliwa mwilini na hakufa? Wewe ni nani ikudhuru? Huu ndo uzuri wa mfanyabiashara smart, lazima asome mentality ya wateja wake

G7 wanatuletea chanjo za msaada, wao wanafahamu msaada huo kwa population tuliyonayo ni sawa na tone la maji Baharini lazima tutaingia king tu! Kama nyie ni wajanja tengeneza chanjo yenu tuone Kama WHO wataidhinisha

Mfanyabiashara smart na mwenye nguvu hashindwi jambo bana!

Utapanda ndege ya nani Kama hujachanjwa? Utaenda kwa nani Kama hujachanjwa? Nani atakuja kwako Kama hujachanjwa? Utaomba mkopo/msaada kwa nani Kama umezuia chanjo za dunia? Utamlilia nani Kama umezuia watu wako wasichanjwe? Nani atakukimbilia kuzika watu wako Kama hujawachanja?? Maana ni rahisi kusema vifo vimesababishwa na Covid-19. Utakataaje wakati hujawachanja watu wako!

Tajiri lazima akupe masharti bwana!

Asikwambie mtu bana hakuna biashara yenye uhakika Kama biashara yenye uhusiano na afya ya mwanadamu. Utake usitake utaingia King tu!

Kwa tulipofika hata mwendazake angeufyata tu! Kama mnabisha kasomeni ushuhuda wa Mzee Rhuksa kwenye kitabu chake wa kisa Cha Nyerere alipojaribu kuhoji masharti ya WB na IMF
 
Kama walivyofanya kwenye HIV/AIDS! Mpaka leo wanatuletea tu mashudu yao tunywe! Hawaumizi kabisa vichwa vyao kugundua dawa wala chanjo!

Mabeberu 🐐 ni viumbe wabaya sana.
 
Bara la Afrika tumepigwa tena na mabepari! Viumbe wenye mbinu na mbwembwe nyingi. Viumbe wasioogopa kupoteza wa kwao wanapokuwa na Jambo lao serious

Walipoitambulisha walianza marumbano wao kwa wao

China na Marekani wakatukanana hadharani na kutunishiana misuli

Kila mmoja alimtuhumu mwenzake kufanya ujinga. Lakini leo mataifa tajiri duniani G7 wamekaa meza moja ya mduara na wamegonga cheers "kusherehekea" mafanikio

Ukipenda nikasirikie au tukana tu (chalamila style) nikisema wao wanasherehekea mafanikio halafu nami nitakuuliza Kama sio kusherehekea mwanzo kilichowafanya wavimbishiane ni nini?

Kilichowafanya wagombanie chanjo zao zisajiliwa na kuidhinishwa ni nini?

Tukatae tukubali hii ni biashara na soko li tayari kununua bidhaa za Covid-19

Wakikaa G7 wakakubaliana jambo nani wa kupinga?

Biashara nyingi mpya huanza na promotion na wafanyabiashara smart wanajua promotion wanayofanya watafidia vipi

Watu wao wameshachanjwa na chanjo ya Covid-19, nani mwingine atakataa?

Utawezaje kusema zina madhara wakati mzungu chanjo hiyo hiyo kashashindiliwa mwilini na hakufa? Wewe ni nani ikudhuru? Huu ndo uzuri wa mfanyabiashara smart, lazima asome mentality ya wateja wake

G7 wanatuletea chanjo za msaada, wao wanafahamu msaada huo kwa population tuliyonayo ni sawa na tone la maji Baharini lazima tutaingia king tu! Kama nyie ni wajanja tengeneza chanjo yenu tuone Kama WHO wataidhinisha

Mfanyabiashara smart na mwenye nguvu hashindwi jambo bana!

Utapanda ndege ya nani Kama hujachanjwa? Utaenda kwa nani Kama hujachanjwa? Nani atakuja kwako Kama hujachanjwa? Utaomba mkopo/msaada kwa nani Kama umezuia chanjo za dunia? Utamlilia nani Kama umezuia watu wako wasichanjwe? Nani atakukimbilia kuzika watu wako Kama hujawachanja?? Maana ni rahisi kusema vifo vimesababishwa na Covid-19. Utakataaje wakati hujawachanja watu wako!

Tajiri lazima akupe masharti bwana!

Asikwambie mtu bana hakuna biashara yenye uhakika Kama biashara yenye uhusiano na afya ya mwanadamu. Utake usitake utaingia King tu!

Kwa tulipofika hata mwendazake angeufyata tu! Kama mnabisha kasomeni ushuhuda wa Mzee Rhuksa kwenye kitabu chake wa kisa Cha Nyerere alipojaribu kuhoji masharti ya WB na IMF
Umekosea sana kufikiria JPM (may the soul of this great African hero 💔rest in eternal peace) kuwa angekubaliana na upungu huu! Ww kama unataka kumfariji aliyepo madarakani kuhalalisha kuleta hivyo vichanjo uchwara we mfariji tu! Na Mungu yupo, malipo ni hapahapa duniani na mbinguni kwa usaliti huu mnaoufanya😡!
 
Bara la Afrika tumepigwa tena na mabepari! Viumbe wenye mbinu na mbwembwe nyingi. Viumbe wasioogopa kupoteza wa kwao wanapokuwa na Jambo lao serious

Walipoitambulisha walianza marumbano wao kwa wao

China na Marekani wakatukanana hadharani na kutunishiana misuli

Kila mmoja alimtuhumu mwenzake kufanya ujinga. Lakini leo mataifa tajiri duniani G7 wamekaa meza moja ya mduara na wamegonga cheers "kusherehekea" mafanikio

Ukipenda nikasirikie au tukana tu (chalamila style) nikisema wao wanasherehekea mafanikio halafu nami nitakuuliza Kama sio kusherehekea mwanzo kilichowafanya wavimbishiane ni nini?

Kilichowafanya wagombanie chanjo zao zisajiliwa na kuidhinishwa ni nini?

Tukatae tukubali hii ni biashara na soko li tayari kununua bidhaa za Covid-19

Wakikaa G7 wakakubaliana jambo nani wa kupinga?

Biashara nyingi mpya huanza na promotion na wafanyabiashara smart wanajua promotion wanayofanya watafidia vipi

Watu wao wameshachanjwa na chanjo ya Covid-19, nani mwingine atakataa?

Utawezaje kusema zina madhara wakati mzungu chanjo hiyo hiyo kashashindiliwa mwilini na hakufa? Wewe ni nani ikudhuru? Huu ndo uzuri wa mfanyabiashara smart, lazima asome mentality ya wateja wake

G7 wanatuletea chanjo za msaada, wao wanafahamu msaada huo kwa population tuliyonayo ni sawa na tone la maji Baharini lazima tutaingia king tu! Kama nyie ni wajanja tengeneza chanjo yenu tuone Kama WHO wataidhinisha

Mfanyabiashara smart na mwenye nguvu hashindwi jambo bana!

Utapanda ndege ya nani Kama hujachanjwa? Utaenda kwa nani Kama hujachanjwa? Nani atakuja kwako Kama hujachanjwa? Utaomba mkopo/msaada kwa nani Kama umezuia chanjo za dunia? Utamlilia nani Kama umezuia watu wako wasichanjwe? Nani atakukimbilia kuzika watu wako Kama hujawachanja?? Maana ni rahisi kusema vifo vimesababishwa na Covid-19. Utakataaje wakati hujawachanja watu wako!

Tajiri lazima akupe masharti bwana!

Asikwambie mtu bana hakuna biashara yenye uhakika Kama biashara yenye uhusiano na afya ya mwanadamu. Utake usitake utaingia King tu!

Kwa tulipofika hata mwendazake angeufyata tu! Kama mnabisha kasomeni ushuhuda wa Mzee Rhuksa kwenye kitabu chake wa kisa Cha Nyerere alipojaribu kuhoji masharti ya WB na IMF
Well said. Na tujiulize, kwa nini hadi leo hii malaria ni tatizo.
 
Umekosea sana kufikiria JPM (may the soul of this great African hero [emoji174]rest in eternal peace) kuwa angekubaliana na upungu huu! Ww kama unataka kumfariji aliyepo madarakani kuhalalisha kuleta hivyo vichanjo uchwara! Na Mungu yupo, malipo ni hapahapa duniani na mbinguni kwa usaliti huu mnaoufanya[emoji35]!
Huenda kweli nimekosea lakini nimetoa mawazo yangu hasa wakubwa wanapoamua jambo lao. Hata Nyerere mwanzo hakukubaliana na vibwenga vya IMF na WB lakini hakuwa na namna kwa upole akamwambia Mwinyi awasikilize tu maana hamna namna. Sina hakika Kama mwendazake alimzidi ueledi wa kujua Mambo Nyerere
 
Summary kwa alichoandika mleta mada (kwa walioona uvivu kusoma post yote) ni ifuatayo.


Tajiri humtawala maskini siku zote.
 
Huenda kweli nimekosea lakini nimetoa mawazo yangu hasa wakubwa wanapoamua jambo lao. Hata Nyerere mwanzo hakukubaliana na vibwenga vya IMF na WB lakini hakuwa na namna kwa upole akamwambia Mwinyi awasikilize tu maana hamna namna. Sina hakika Kama mwendazake alimzidi ueledi wa kujua Mambo Nyerere
Duh, ni bahati mbaya sana shujaa JPM ameondoka kabla hujamfahamu vizuri! Alipoitwa na kuitika kuwa yy ni jiwe haikua utani! Hivyo ndivyo alivyokuwa, misimamo yake ilikuwa thabiti sana hata kumzidi JK Nyerere ( may the souls of these beloved presidents and great African heros 💔 rest in eternal peace 🙏), amen!
 
Back
Top Bottom