COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Kweli mzee
 
Hao wote hamna mwenye akili ya abramovich labda makonda shida akili yake ndogo sana hawezi mudu mikiki alivyopendwa angekuwa na akili kidogo angekuwa mbali sana
 
Yaani wewe uko kama mimi make wangu anachukia maana hata kula naahirisha mpaka nimalize
 
duu jomba povu limekutoka hatari.[emoji23][emoji23]utakuwa mtu wa kigoma!
 
La msingi angeweka vitabu hapa tutasoma wenyewe siyo kutafsiria watu na kuweka chai au kujifanya yeye ndo kaandika.though najua hawezi weka vitabu maana vitamuumbua. Msiwe mnasahau na sisi wenye uelewa tumo humu.siyo wote ni form four leavers.
neno "though" naona limeanza kukaa kichwani muha..kila epsode ya comments zako unalichomekea[emoji23]
 
Naona hatimae tumepotea kabisaaaa..nashauri dereva arudishe chombo angalau mpaka Hong Kong (sio lazima tukaanzie Wuhan) kisha tuanze kuifuata tena njia.Kuna uwezekano mkubwa tusupotee tena.

sent from Samsung Galaxy A30
 
Binafsi namwelewa sana The bold toka mwaka 2014 kwenye sakata la mchungaji mmoja, aliutendea haki uandishi wake.
Siwashangai sana wanaosema hawamwelewi kwa sababu hili jukwaa ni kawaida kuwa na mambo magumu mno.
Watu wengine KB moja ni shida mimi mwenyewe nimesilitika sana
 
Siyo epsode ni episode sister. Just leave this to men.you aint the type of girl who can even support your man.najua jamaa ana mke wake ila sijajua we mchepuko wake una uchungu kuliko mkewe.😂😂😂😂
neno "though" naona limeanza kukaa kichwani muha..kila epsode ya comments zako unalichomekea[emoji23]
 
Huyo jamaa ni mzee wa kucopy na kupaste ila anamodify kidogo,yeye anachofanya ni kutafsiri halafu anakuwa na mwendelezo mbovu anarukia rukia tu kuonyesha hajacopy
Poleni niliwahi kujiunga huko mwisho wa mwezi ndio anakuwa active kweli kudai michango mkishamchangia anaanza kuwaringia kana kwamba anafanya msaada! Halafu dizain anapenda kubembelezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…