COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

Somo ambalo TISS wamejifunza hapa ni kwamba itakuwa ni marufuku kwenda na simu kwenye mitikasi nyeti ili hawa wazee wa signal int wasiambulie kitu au wawatumie mabubu
Nalog off
 
Somo ambalo TISS wamejifunza hapa ni kwamba itakuwa ni marufuku kwenda na simu kwenye mitikasi nyeti ili hawa wazee wa signal int wasiambulie kitu au wawatumie mabubu
Nalog off
TISS ipi mkuu? Au unaongelea hawa waliomtolea Nape bastola mbele ya camera za waandishi wa habari? Hebu acha kuwataja hao jamaa kwenye mijadala ya maana asee!
 
TISS ipi mkuu? Au unaongelea hawa waliomtolea Nape bastola mbele ya camera za waandishi wa habari? Hebu acha kuwataja hao jamaa kwenye mijadala ya maana asee!
Simu yangu inazingua ila kuna ndoto nimeiota baada ya kusoma humu ,nimeota jinsi ya kuzikwepa hizi signal int
Nalog off
 
TISS ipi mkuu? Au unaongelea hawa waliomtolea Nape bastola mbele ya camera za waandishi wa habari? Hebu acha kuwataja hao jamaa kwenye mijadala ya maana asee!
Unajua waliotoa wazi la kupima diesel na mbuzi ni akina nani?
Unajua waliomzuia mkulu asi lockdown ni akina nani?
Msivae barakoa zao?
Kumbuka, Kwa Nini Kenya majirani wamo?
Tiss! Nikuombe tu. Usiwadharau. Wametufikisha hapa salama. Ulijua DCI ni TISS? Ulijua Prof mchunguzi makinikia ni tiss( mkulu alimtaja)
Deep- state.
 
Duh
 
Hugo jamaa ni Dr.shi ambaye device yake ilikuja mpaka kenya
 
unaijua ESCROW? UNaijua RICHMOND? Unajua kama kuna twiga walipigishwa magoti wakaingizwa kwenye ndege wakasepa ughaibuni? Hebu tuyaache haya maswala kama yalivyo mkuu!
 
Mkuu Habibu B. Anga hivi malengo ya siri ya kugharamia uundwaji wa vitu hatarishi ni yapi? Nyuma ya WIV Kuna CHINA tu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…