Lyaka Mlima Jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2020
- 361
- 521
Sijaelewa utaratibu wa chanjo hii ya uviko kuwabagua walio chini ya miaka 18 tumejiridhisha vipi kuwa wao hawawezi kuambukiza na kuambukiza??¿
Taifa lisipokuwa na sera zake litafanyia kazi sera za mataifa mengine..
Tufikiri pamoja kama taifa
Taifa lisipokuwa na sera zake litafanyia kazi sera za mataifa mengine..
Tufikiri pamoja kama taifa