Lyaka Mlima Jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2020
- 361
- 521
Nijuavyo mimi, kwa ufahamu mdogo, chanjo, kwa kawaida, hujaribiwa kwa watu wazima kwanza, na baadaye kwa watoto baada ya kutathmini uwezo wake na usalama umethibitika katika watu wazima. Hii ni kwa sababu watoto bado wanaendelea kukua. Pia UVIKO-19, kwa sasa, umekuwa ni ugonjwa mbaya na hatari miongoni mwa wazee.Sijaelewa utaratibu wa chanjo hii ya uviko kuwabagua walio chini ya miaka 18 tumejiridhisha vipi kuwa wao hawawezi kuambukiza na kuambukiza??¿
Taifa lisipokuwa na sera zake litafanyia kazi sera za mataifa mengine..
Tufikiri pamoja kama taifa
View attachment 1964367
Kwa hiyo ipo ktk majaribio ????Nijuavyo mimi, kwa ufahamu mdogo, chanjo, kwa kawaida, hujaribiwa kwa watu wazima kwanza, na baadaye kwa watoto baada ya kutathmini uwezo wake na usalama umethibitika katika watu wazima. Hii ni kwa sababu watoto bado wanaendelea kukua. Pia UVIKO-19, kwa sasa, umekuwa ni ugonjwa mbaya na hatari miongoni mwa wazee.
Kwa kuwa chanjo hizo zimekusudiwa kuwa salama kwa watu wazima, zinafanyiwa utafiti kwa ajili ya watoto.