4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mazoezi pia ni fursa nzuri ya kujikinga na Corona,
Kwa umoja wetu kuanzia MTAA Tanzania nzima tuhamashishane Sasa kufanya mazoezi ya kutembea angalau km1- 3 kila jmosi ya wiki, itapendeza Sana tukianza jmosi ya week ijayo.
Mazoezi ya kutembea ni mepesi mno hata mzee anaweza kufanya.
Kwa nafasi zetu tuelimishe watu kwenye mitaa yetu nyumba kwa nyumba ili watu washiriki mazoezi ya kutembea, lazima tubambane na corona KWa NJIA zote.
Niwaombe Watanzania kupokea ushauri huu kwa mikono miwili
Shukrani.
Kwa umoja wetu kuanzia MTAA Tanzania nzima tuhamashishane Sasa kufanya mazoezi ya kutembea angalau km1- 3 kila jmosi ya wiki, itapendeza Sana tukianza jmosi ya week ijayo.
Mazoezi ya kutembea ni mepesi mno hata mzee anaweza kufanya.
Kwa nafasi zetu tuelimishe watu kwenye mitaa yetu nyumba kwa nyumba ili watu washiriki mazoezi ya kutembea, lazima tubambane na corona KWa NJIA zote.
Niwaombe Watanzania kupokea ushauri huu kwa mikono miwili
Shukrani.