Covid-19 : Kenya yaendelea kudhihirisha woga wake dhidi ya Tanzania

Covid-19 : Kenya yaendelea kudhihirisha woga wake dhidi ya Tanzania

game over

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
10,727
Reaction score
24,840
Kenya imeweka vikwazo kwa wasafiri toka nchi kadhaa za afrika huku ikiruka Tanzania,
Ikumbukwe Tanzania haijawahi jihangaisha sana na Huu ugonjwa japo matokeo ya maambukizi na Vifo kati ya Tanzania na kenya Hayana Tofauti,
776ae706-fc1c-4097-a131-25be35571bab.jpg



My take: Enyi wakenya wapumbavu, ni nani aliyewaloga ?
Endeleeni na Maisha, ugonjwa huu hauishi Léo wala kesho.
 
Kenya imeweka vikwazo kwa wasafiri toka nchi kadhaa za afrika huku ikiruka Tanzania,
Ikumbukwe Tanzania haijawahi jihangaisha sana na Huu ugonjwa japo matokeo ya maambukizi na Vifo kati ya Tanzania na kenya Hayana Tofauti,
View attachment 2060535


My take: Enyi wakenya wapumbavu, ni nani aliyewaloga ?
Endeleeni na Maisha, ugonjwa huu hauishi Léo wala kesho.
Nadhani sababu kubwa ya Kenya kuisaza Tanzania inatokana na nia yake Suluhu ya kufanya mambo tofauti. Kama lingekuwa lile zimwi bila shaka shoka lingeangukia Tanzania..
 
nimeshakua mkenya tayari?

do you know my nationality mzee?

au umegeuka mganga wa kienyeji?

unaichukia kenya sana,sijui walikufanya nini ndugu yangu?

usiwe personal namna hii,ni useless na wastage ya chuki kuchukia nchi nzima

Ni kweli, sina mapenzi na nchi za hovyo kama Kunyaland.
 
Nadhani sababu kubwa ya Kenya kuisaza Tanzania inatokana na nia yake Suluhu ya kufanya mambo tofauti. Kama lingekuwa lile zimwi bila shaka shoka lingeangukia Tanzania..

U and I know better that tension between kenya and Tz hazikuanza jana wala juzi, it dates back na kumekuwa na vuta nkuvute kwa awamu zote,
Besides: It won’t take long untill Kenya will come up with selfish moves, mark these words.
 
U and I know better that tension between kenya and Tz hazikuanza jana wala juzi, it dates back na kumekuwa na vuta nkuvute kwa awamu zote,
Besides: It won’t take long untill Kenya will come up with selfish moves, mark these words.
What has been between Kenya and Tanzania is nothing but sibling rivalry and not What you are trying to insinuate. It's only that some mad person from out of the blues decided to take it to the extremes.
 
What has been between Kenya and Tanzania is nothing but sibling rivalry and not What you are trying to insinuate. It's only that some mad person from out of the blues decided to take it to the extremes.
Nyerere is the one who took it to the extreme by closing the border and prepare troops ready for war.
 
Kenya imeweka vikwazo kwa wasafiri toka nchi kadhaa za afrika huku ikiruka Tanzania,
Ikumbukwe Tanzania haijawahi jihangaisha sana na Huu ugonjwa japo matokeo ya maambukizi na Vifo kati ya Tanzania na kenya Hayana Tofauti,
View attachment 2060535


My take: Enyi wakenya wapumbavu, ni nani aliyewaloga ?
Endeleeni na Maisha, ugonjwa huu hauishi Léo wala kesho.
I don't think your childish opinions matter, your hate is irrelevant and has no impact on Kenya's ties to/with Tanzania.
Swallow that.
 
This thread was an epic fail game over your level headed countrymen dealt with you. We didn't even have to talk. Thank you level headed Tanzanian brothers for showing maturity.🤣🤣🤣
 
This thread was an epic fail game over your level headed countrymen dealt with you. We didn't even have to talk. Thank you level headed Tanzanian brothers for showing maturity.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

The fact that you are replying proves it got to your attention
 
Back
Top Bottom