COVID 19 PANDEMIC: Tanzania imejiaandaaje?

COVID 19 PANDEMIC: Tanzania imejiaandaaje?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kwa ufupi napenda kutoa tips ya jinsi Tanzania katika hali ya umasikini wake kifedha ilivyoweza kujiandaa na Janga hili la COVID 19.

Hapa natumia uzoefu wangu wa kusaka taarifa mbalimbali na kuzianalyse

1-Tanzania inao wataalamu wanaojihusisha na walioelimishwa kuhusiana na udhibiti wa magonjwa ya milipuko pamoja na majanga. wataalamu hawa wamekuwa active sana miaka hii ya karibuni naweza kusema miaka kama 8 iliyopita. wataalamu hawa ndio wanewezesha kuwepo kwa kitengo cha Emergency Medicine pale Muhimbili.

2-Kuna kitengo cha kukabiliana na maafa/majanga kilichohuishwa kikishirikisha sekta mbalimbali.

3-Ipo miongozo iliyo tayari na imeshajaribiwa iwapo inafanya kazi katika scenario kadhaa...hii ni toka kipindi cha janga la kuanguka kwa ghorofa Dar, kipindupindu, tishio la ebola, ajali ya moto morogoro n.k

4-Maandalizi ya kukabiliana na majanga ili yasilete madhara makubwa yalikua yanaendelea na kufanyiwa majaribio(mitigations).

5-Zipo timu mbalimbali zilizopata mafunzo na kuwekwa katika utayari iwapo janga litatokea.zinaitwa Rapid Responce Teams...za mikoa na baadhi ya halmashauri.

6-Ipo timu ya iratibu ngazi ya wizara ya afya ambayo imekuwa ikifanya kazi kufa na kupona ingawa haijajimwambafai.

7-Ushirikiano wa wadau mbalimbali ni mkubwa.

8-Directives za nini kifanywe na kwa wakati gani zipo na zinazingatiwa kwa kuwa mfumo wetu wa afya ni centrally controlled.

9-Upo mfumo madhibuti wa ufuatiliahi wa magonjwa ya milipuko.

10-Wanasiasa watanzania wamejitahidi sana kuheshimu maoni ya wataalsmu na kuwapa space ya kufanya kazi.

11-Tanzania imewahi kuchukua hatua sahihi kwa wakati kwa mujibu wa wataalamu.


Changamoto inayoweza kuwa kubwa ni uwepo wa vifaa mahsusi vya matibabu hivyo suluhisho lake ni mapambano makali ya kuzuia na sio kutibu.

Iwapo kila mmoja wetu atawasikiliza na kuwasupport wataalamu tutavuka salama.
 
Tupunguze hofu na tuhimize ushirikiano
 
jingalao, Kwa mimi navyo ona ugonjwa huu hauto kuwa serio6 kam nchi kubwa huko ila kwa imani yangu na nilivyo experience nchi hii huu ugonjwa ukija serious hatuwezi hta kidg. we need God's blessings an' mercy sivyo tutakwisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yakhee wacha utani weyee, hiyo mifano umetoa ajali ya moto sijui, kuanguka ghorofa idadi ya majeruhi ilifikia hatua ya kuelemea facilities za afya? Kama jibu ni hapana basi tambua kinachofanya covid 19 kuwa deadliest ni tabia yake ya ku overwhelm health care facilities.

Umetaja ma dr, lakini hujataja mna uwezo wa kuhudumia critical cases ngap at a time nazungumzia ICU.

Viwanda vya magari huko marekani vinalazimishwa kutengeneza ventilators kwasababu ya kuzidiwa na wagonjwa ICU.

Ushauri wangu omba mods wafute uzi wako au fanya kuongezea hii statement mwishoni mwa uzi wako "i am just kidding"
 
Tupunguze hofu na tuhimize ushirikiano

Viwanda vimewashinda saa hii unakuja na uzi mrefu kuzungumzia Corona na kumwaga sifa za kijinga. Huo ugonjwa ni wa kwenye nchi za baridi sio huku kwetu. Kwa taarifa yako leo kuna soko limeungua lote huko Arusha, tena likiwa chini ya kilomita moja toka fire brigade. Sasa sijui unamjazia nani server kwa sifa za kijinga.
 
Ventilator Ni muhimu Sana,tununue hata 5000,maana huu ugonjwa ukishahamia mapafuni bila ventilator huchukui round
 
Mjomba Fujo,
Ni upuuzi kujidai unahudumui mgonjwa wa Covid 19 hadi kumuwekea tubes na kumuunganisha na vents ..hii inapoae risk ya maambukizo kwa watoa huduma na siamini kama inasaidia lolote.

Nipe takwimu za waliorecover kutoka kwenye vents nitakuelewa.
 
Viwanda vimewashinda saa hii unakuja na uzi mrefu kuzungumzia Corona na kumwaga sifa za kijinga. Huo ugonjwa ni wa kwenye nchi za baridi sio huku kwetu. Kwa taarifa yako leo kuna soko limeungua lote huko Arusha, tena likiwa chini ya kilomita moja toka fire brigade. Sasa sijui unamjazia nani server kwa sifa za kijinga.
Kenya ni nchi yenye baridi kali
 
Viwanda vimewashinda saa hii unakuja na uzi mrefu kuzungumzia Corona na kumwaga sifa za kijinga. Huo ugonjwa ni wa kwenye nchi za baridi sio huku kwetu. Kwa taarifa yako leo kuna soko limeungua lote huko Arusha, tena likiwa chini ya kilomita moja toka fire brigade. Sasa sijui unamjazia nani server kwa sifa za kijinga.
Kenya ni nchi yenye baridi kali
 
Ventilator Ni muhimu Sana,tununue hata 5000,maana huu ugonjwa ukishahamia mapafuni bila ventilator huchukui round
Utumiaji wa ventilators ndio umeathiri watumishi wengi wa afya huko Italy
 
Changamoto inayoweza kuwa kubwa ni uwepo wa vifaa mahsusi vya matibabu hivyo suluhisho lake ni mapambano makali ya kuzuia na sio kutibu.

Iwapo kila mmoja wetu atawasikiliza na kuwasupport wataalamu tutavuka salama.
Naunga mkono hoja, kwa vile tangu mtu kuambukizwa hadi kuonyesha simptoms ni 14 days, huwezi jua nani ameambukizwa na nani bado, hivyo to be on a safe side, ni vizuri kufuata ushauri wa wataalamu katika kujikinga, usafi, social distancing na uvaaji wa barakoa zivaliwe na wote!.

Sisi Tanzania tuna bahati sana kwa nchi yetu hatuna mlipuko, ungetokea kama China, Italy na US, tungekufa kama kuku!, anaetulinda ni Mungu tuu kufuatia kuushtukia Corona ni shetani hivyo rais wetu Magufuli akaikabidhi shetani Corona kwa kiboko ya shetani ambaye ni Mungu mwenyewe vinginevyo...!

P
 
Jamaa una utani wewe, haya endelea na utani wako..
 
Naunga mkono hoja, kwa vile tangu mtu kuambukizwa hadi kuonyesha simptoms ni 14 days, huwezi jua nani ameambukizwa na nani bado, hivyo to be on a safe side, ni vizuri kufuata ushauri wa wataalamu katika kujikinga, usafi, social distancing na uvaaji wa barakoa zivaliwe na wote!.

Sisi Tanzania tuna bahati sana kwa nchi yetu hatuna mlipuko, ungetokea kama China, Italy na US, tungekufa kama kuku!, anaetulinda ni Mungu tuu kufuatia kuushtukia Corona ni shetani hivyo rais wetu Magufuli akaikabidhi shetani Corona kwa kiboko ya shetani ambaye ni Mungu mwenyewe vinginevyo...!

P
Tanzania inatumia akili kubwa kurespond...
 
Kenya ni nchi yenye baridi kali

Ratio wise ya wananchi wa Kenya na idadi ya wagonjwa bwana Corona mpaka sasa unaweza kutishika? Ungesema ukimwi ni tatizo kwa huku ningekuelewa.
 
Naunga mkono hoja, kwa vile tangu mtu kuambukizwa hadi kuonyesha simptoms ni 14 days, huwezi jua nani ameambukizwa na nani bado, hivyo to be on a safe side, ni vizuri kufuata ushauri wa wataalamu katika kujikinga, usafi, social distancing na uvaaji wa barakoa zivaliwe na wote!.

Sisi Tanzania tuna bahati sana kwa nchi yetu hatuna mlipuko, ungetokea kama China, Italy na US, tungekufa kama kuku!, anaetulinda ni Mungu tuu kufuatia kuushtukia Corona ni shetani hivyo rais wetu Magufuli akaikabidhi shetani Corona kwa kiboko ya shetani ambaye ni Mungu mwenyewe vinginevyo...!

P
Na hao huko ilianza hivi hivi. Tanzania is a time bomb kwa corona, mark my words. Tujiandae kulia in a few weeks.
Tunaingiza siasa badala ya kusikiliza wataalam. Hadi WHO wanatulima barua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom