COVID-19: Pfizer wasema " tulihamia kwa binadamu na kuacha kufanyia majaribia ya chanjo kwa wanyama kwa sababu waliendelea kufa."

COVID-19: Pfizer wasema " tulihamia kwa binadamu na kuacha kufanyia majaribia ya chanjo kwa wanyama kwa sababu waliendelea kufa."

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Maneno hayo yamesemwa ndani ya kikao cha baraza la senate nchini marekani na mwakilishi wa Maabara ya Pfizer akielezea changamoto wanazokutana nazo.

Inasemekana kwa sasa kumeanza kuibuka visa mbalimbali vitokanavyo na maudhi ya chanjo kwa wengi waliopatiwa chanjo hizo hapo awali.
#testsubjects
Sikiliza hapa:
 
Kuna wakati wadau humu tuache vineno vidogo vidogo mara nyingi ndivyo vinapelekea kuachwa kujadiliwa kwa mada na kuanza kuelekeza 'ujinga' huko.
 
Mpaka sasa tuna vitu viwili havijaeleweka
1. Mahabara
2. Tukumshane
Please mwenye kujua asaidie hapa ili mada iendelee.
 
Maneno hayo yamesemwa ndani ya kikao cha baraza la senate nchini marekani na mwakilishi wa Maabara ya Pfizer akielezea changamoto wanazokutana nazo.

Inasemekana kwa sasa kumeanza kuibuka visa mbalimbali vitokanavyo na maudhi ya chanjo kwa wengi waliopatiwa chanjo hizo hapo awali.
#testsubjects
Sikiliza hapa:


Na Vifo kutokana na v
 
98% hatujachanja na hatujafa

tuliambiwa tusipochanja tutakufa

Mliochanja mkiona tuliopuuza chanjo na mabarakoa tupo sambamba na nyie watu makini mnaozingatia tahadhari za WHO roho zinawauma sana

Mungu ni mjuzi kuliko WHO
Mwendazake hakuchanjwambonakafa
 
Back
Top Bottom