Covid 19: Raia wa Kenya apokea majibu ya positive na negative

naona wamem-handle huyo mzee vizuri cz hela anazo, angekua mlala hoi na rungu zingetembea.
Kuna tatizo kubwa la kiutendaji, inatakiwa Hiyo maabara ichunguzwe na kama hawana papai na fenesi wafungue mipaka tuwaletee
 
Tulishasema hili janga limegubikwa na siasa. Sarakasi hazitaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…