COVID-19 vaccine recipients are suddenly testing positive for HIV!

Unaporusha mitusi kwenye jukwaa huru unaonekana ni mvuta bhangi. Hili ni jukwaa huru . sasa na Mimi kwa uelewa wangu nimekwa hiyo mistori unayoamini ni feki na huo ni mchango wangu
Yanayotokea duniani leo miaka ishirini iliyopita watu walisema ni conspiracies,leo yametokea.Sijui tutaishi in denial mpaka lini.Kweli tuwajinga kiasi hicho,I do not think so.
 
Kinachosikitisha ni kwamba haya mataifa yetu ya Africa hatuna nguvu hata robo ya kukataa uingizwaji wa hiyo chanjo.......labda kwa maraisi wabishi wasiondeshwa Kama kagame na Museven pekee
Sijaona anaye mfikia Magu hata robo hapo au ndio nabii hakubaliki kwao
 
Sawa kabisa,sio mainstream media,kwa hiyo vyanzo vya taarifa zao ni authentic.Mkuu huwezi kuamini taarifa yeyote kutoka any mainstream media,it is all screwed up by the Deep State. SOTN ina writers wengi ambao ni independent,sio censored.
Duuh..
You sounded like those Trumpists cult members, who have been brainwashed by Breitbart News
ooohh covid is a Hoax,
I work in Hospital and I attended wards with Covid people, I saw with my own eyes, and even some dead bodies been bag up,

Depopulation kivipi???????????
Wakati Covid imeharibu sana Uchumi wa US and developed world, halafu tena watengeneze Vaccine ya kuendeleea kuharibu nchi zao

Kwahiyo sasa fake news ndio imekuwa authentic au vipi , basi sawa
Lakini usiwadanganye wabongo, halafu naona wengi wasiokuwa na either elimu au uwezo wa kuchambua wanakuitika tu
 
Sitatumia chanjo yao kabisa
Mbona hii kali sana sana aseh haijawahi tokea aseh
Tumia chanjo ya iran,china,Russia,,achana na chanjo za nchi za magharibi,,wale sio watu wazuri...
 
Huu ni ujinga kabisa,unaletewa taarifa ya kukusaidia halafu unaiita conspiracy.Hivi unaelewa kwa nini dhana ya conspiracies ilibuniwa kweli wewe.Endelea kuuchapa usingizi,wenzio wako kwenye genocide spree!
Hapo kwenye kijiwe cha draft we ndo unaonekana great thinker. Si mchezo.
 
Kwahiyo JOO BAIDENI ana NGOMA na yeye?
 
Kinachosikitisha ni kwamba haya mataifa yetu ya Africa hatuna nguvu hata robo ya kukataa uingizwaji wa hiyo chanjo.......labda kwa maraisi wabishi wasiondeshwa Kama kagame na Museven pekee
Mbona hao hao ulio wataja ndio wanaendeshwa kirahisi na mataifa ya magharibi!?
 
What scares is how they procure the protein, where they get from etc, the whole process undertaken to acquire the protein could be dubious
Its a century old tech
 
Tupia ka clip, mi sijaona🤓🤓
 
Huu ni ujinga kabisa,unaletewa taarifa ya kukusaidia halafu unaiita conspiracy.Hivi unaelewa kwa nini dhana ya conspiracies ilibuniwa kweli wewe.Endelea kuuchapa usingizi,wenzio wako kwenye genocide spree!
Sawa mzee wa Area 51 na flat earth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…