JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Baadhi ya Watanzania bado wamekuwa wakienda kwenye saluni kwa ajili ya huduma za kunyoa, kusuka, kusafisha kucha, huduma za kusafisha ngozi na masaji. Jamani tunaweza kuishi bila hivi vitu kwa muda. Tujitahi
Huduma hizi zinahusisha ukaribu wa mhudumu na mteja na ni rahisi kupeana maambukizi endapo mmoja ameathiriwa na #CoronaVirus
Afya njema ni muhimu kuliko utanashati. Tutakaposhirikiana kama jamii kwa kujikinga na #COVID19 ndivyo tutakaporudi kwenye taratibu zetu kwa haraka na kufanya yote tunayoyapenda
Endapo inawezekana, kaa ndani na utoke pale tu unapokuwa na ulazima kama kununua chakula au dawa na uhakikishe unavaa barakoa na kusafisha mikono yako mara kwa mara
Endapo inakulazimu kutoka, hakikisha unazingatia umbali wa mita 2 kati yako na watu wengine
Kama utanashati ni kipaumbele sana kwako au kazi au kazi yako inakulazimu, angalia uwezekano wa kununua vifaa vya kufanyia shughuli hizo na ujipe huduma mwenyewe.
Huduma hizi zinahusisha ukaribu wa mhudumu na mteja na ni rahisi kupeana maambukizi endapo mmoja ameathiriwa na #CoronaVirus
Afya njema ni muhimu kuliko utanashati. Tutakaposhirikiana kama jamii kwa kujikinga na #COVID19 ndivyo tutakaporudi kwenye taratibu zetu kwa haraka na kufanya yote tunayoyapenda
Endapo inawezekana, kaa ndani na utoke pale tu unapokuwa na ulazima kama kununua chakula au dawa na uhakikishe unavaa barakoa na kusafisha mikono yako mara kwa mara
Endapo inakulazimu kutoka, hakikisha unazingatia umbali wa mita 2 kati yako na watu wengine
Kama utanashati ni kipaumbele sana kwako au kazi au kazi yako inakulazimu, angalia uwezekano wa kununua vifaa vya kufanyia shughuli hizo na ujipe huduma mwenyewe.
Upvote
1