Kilanga komo
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 337
- 290
πππsema jambo au ndo Kilanga komoMmmh
π€£π€£π€£ Eeeeh ndo kilanga komoπππsema jambo au ndo Kilanga komo
Ndo nawatafuta kwa udi na uvumbaWaganga wa kienyeji umewatafuta?
Nimeelekezwa mbagala rangi tatu karibu na kituo Cha mwendo Kasi ila sijui Ni upande upiWaganga wa kienyeji umewatafuta?
Waganga kibao tu mbande. Ila watafte pia wauza mitishamba. Mana kuna jamaa nilimuona kaenda kuuza vibuyu na pumbu za nyani janaNimeelekezwa mbagala rangi tatu karibu na kituo Cha mwendo Kasi ila sijui Ni upande upi
Asante Sana mkuu nalifanyia kaziWaganga kibao tu mbande. Ila watafte pia wauza mitishamba. Mana kuna jamaa nilimuona kaenda kuuza vibuyu na pumbu za nyani jana
Nilifanikiwa kufika mkuuWaganga kibao tu mbande. Ila watafte pia wauza mitishamba. Mana kuna jamaa nilimuona kaenda kuuza vibuyu na pumbu za nyani jana
πππWhatsApp: 0620523897
una soko kubwa niwe supplier mkuuNauza Cowrie/simbi Kilo moja 10,000/=
Dar es salaam(Kigamboni)
Cowrie (simbi) for bracelet necklace and anklet for sale
Namba: 0759448927View attachment 2737372
Yaani unauza au unanunuauna soko kubwa niwe supplier mkuu
nauzaYaani unauza au unanunua