Cpa bwana!!!!!

Malyenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
6,658
Reaction score
3,659
Habari wakuu? Leo nimemaliza kufanya mitihani ya CPA. Lakini wakuu napenda kuongelea suala la mitihani ya NBAA. Hivi hawa jamaa wakoje? Maana mitihani yao hasa somo la Management Accounting jamani aaaaa! Huwa wanatoa maswali kutoka popote kiasi huwa haya pimwi ama kukaguliwa. Mfano leo wametoa swali limekosewa!!!
 
kweli kabisa kaka. lile swali la cash budget.
afu miswali mirefu kinoma
 
Maswali marefu ndo mazuri,na hilo lililokosewa ndo lenye maksi nyingi!
 
Ndio maan ya mtihani inamaan pale kama unaona halipo sawa sanya then onyesha na wap limekosewa au tatizo lilipo msikariri jaman

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mm nasubiri hiyo mitaala mipya niione maana hii ya zamani imenishinda mara tatu mfululizo nimedo cjarecod hata moja .nommaaaaaaaaa sanaa
 
haha haha! mlijuaje kama limekosewa? nakumbuka tulikuwa tukishindwa swali tunajipa moyo limekosewa. skijs lecturer hapi akasolve mnabaki kutoa macho. sasa silabasi mpys ikianza mtujuze tuanze review. pia poleni kwa paper.
 
Malyenge... ile pepa sijui kama kuna mtu kamaliza maswali yote ! Kwangu pepa ilikuwa simama....
 
Last edited by a moderator:
Mm nasubiri hiyo mitaala mipya niione maana hii ya zamani imenishinda mara tatu mfululizo nimedo cjarecod hata moja .nommaaaaaaaaa sanaa

Mkubwa kukudume2013 unakosea, ungekuwa unaingia tu maana watu wanarekodi kiajabu, silabasi mpya sio mbaya manna ukifaulu pepa 1 unarekodi kama acca, ishu .ni idadi ya masomo ...
 
Last edited by a moderator:

Hahaaaa ukiona hivo ujuwe utafaulu bob kua na imani mimi nilirudia paper mara mbili mpaka nikapitwa na mke wangu mara ya tatu nikapasua kidume ni yule alopita paper za nbaa udis mbwembwe tuu
 
Hongereni wapendwa mliomaliza mitihani yenu ya cpa leo. Mwakani Mungu akitujalia uzima nataka nijitose kuisoma hiyo cpa. The problem ni kwamba uwezo wa ku atend review classes ni mdogo sana. Swali ni je nitapasua bila review classes nikikomaa mwenyewe. Naombeni mnijuze kwa wenye experience. Na kuhusu syllubus mpya, inaanza kutumika lyn? Yaani mwezi wa ngapi coz nasikia ni mwakani inaanza.
 
Mkuu if you don't have time to attend review classes, then please stay far away from CPA.

 
Mkubwa kukudume2013 unakosea, ungekuwa unaingia tu maana watu wanarekodi kiajabu, silabasi mpya sio mbaya manna ukifaulu pepa 1 unarekodi kama acca, ishu .ni idadi ya masomo ...

Yatakuwa mangapi kwa graduate wa BAF?
 
Last edited by a moderator:
Ila cpa nayo! Kuna jamaa anasoma cpa miaka sijui 10 sasa? Hapo inbetween kafanya na postgraduate diploma moja na masters 2. Sijui anataka cpa aipeleke wapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…