Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
haa uwanja wa pesa kivipi?Karibuni uwanja wa pesa
haa uwanja wa pesa kivipi?
aise kama ni vivyo basi ngoja nimalize digrii yangu ya uhasibu fasta nikatafut yangu. lakini mbona kiasi kidogo sana mkuu hicho?au ni 56,450?toka uhuru ndo tumefika 5645 ukitoa waliofariki tunabaki less than elfu tano
aise kama ni vivyo basi ngoja nimalize digrii yangu ya uhasibu fasta nikatafut yangu. lakini mbona kiasi kidogo sana mkuu hicho?au ni 56,450?
hatarii..ngoja nimalize haraka nikasome cpa(t) mie.tatizo ni nini wanakuwa wachache hivyo?au ugumuni 5,645 mkuu,kama alivyosema aliyetangulia hapo juu
MA mwe
Ni shida lile somo kamshahara kanakua hakakui......:angry:Teh teh umeshikwa MA nn
Ni shida lile somo kamshahara kanakua hakakui......:angry:
Pole sana hiyo kitu hakuna asiyeilalamika inakwamisha wengi F... hope u will make it this time and be Certified all the best...
Hata mm imenigomea aisee,hope November nitafanikiwa,maake hata new syllabus nafanya hilo moja tu,
Hongera zako kila la kheri utatoka tu
Hv ina appeal km hujaridhika na matokeo?
Hakuna appeal kwa syllabus ya zaman,labda hii mpya nimesikia itakua na hicho kipengele