CPA na degree ya tax

richy17

Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
57
Reaction score
4
Heshima kwenu wanajamvi!!!....kuna swali linanitatiza nalo ningependa pata majibu toka kwenu.Mtu aliyepata degree toka chuo cha ITA huanza kufanya mitihani ya bodi ya wahasibu kuanzia module ipi??..ni E na F kama watu wa accountancy au ni tofauti?
 
Skuiz amna vya module e & f. .fungua site ya nbaa uangalie unaanzia wapi
 
Non accounting degree unaanzia foundation. Hakuna mambo za mod A Mpaka F. Director Maneno amewarahisishia. Stage ziko tatu, foundation (5 subjects), Intermediate(6) na final (4)...kwa mantiki hiyo uko-eligible to sit for foundation stage, naamini kichwa yako iko vizuri baada ya mwaka 1.5 ushakamata gamba
 
umeeleweka vyema mkuu. kama yupo bright first sitting anachomoa fasta. then nbaa wameweka kila kitu very open ni kitendo cha kutembelea tovuti yao for more details.
 
Mi nlijua bado kuna mambo ya modules...asante kwa kunielewesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…